JAMANI Eeeegh mimi nataka kuwa mwanachama natokea Diploma naombeni mnipe maelekezo kuanzia siku najiunga mpaka siku nachukuwa cheti maana sijui chochote ila naomba msiniambie niende ofisini kwao maana nisinge wauliza
Wadau Mimi ni Mtumoiaji Mpya wa jamiiForum Ningependa kupata maelekezo ya Jinsi ya Kuitumia toka kwenu Kama una Chochote Ukijuwacho Naomba unijulishe na Mimi Pia.!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.