Bwana asipolinda mji wakeshao hukesha bure!!!!!!!!!!!

Bwana asipolinda mji wakeshao hukesha bure!!!!!!!!!!!

Hiyo methali yako sijaifahamu

Si methali best, bali ni nukuu ya maandiko toka kwa Biblia...maana yake ni kuwa Mungu ndiye mlinzi wa nyumba zetu hata kama tunaweka walinzi na askari.
 
Mshahara wenyewe hautoshi waache walale tu.
 
Si methali best, bali ni nukuu ya maandiko toka kwa Biblia...maana yake ni kuwa Mungu ndiye mlinzi wa nyumba zetu hata kama tunaweka walinzi na askari.

Asante kwa shule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom