Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal wamemuulizia Papis Cisse usiku huu na Newcastle wanataka anunuliwe kabisa na sio mkopo.

Wenger afungue tena hundi yake na aandike kiasi kinachohitajika.

Cisse ni mshambuliaji wa maana sana na Arsenal wanatakiwa watoe kama paundi milioni 8 au 9 hivi.

Jioni hii timu ya Trabzonspor ya Uturuki iliweka mezani kiasi cha paundi milioni 9 hivi na Newcastle wakakubali lakini Ppis Cisse amekataa na kusema anapendelea kubaki Uingereza.

Newcastle-United-Training-Session-3032413.jpg

Papis Cisse
 
Kama Arsenal hawatasajili mshambuliaji wa akiba, basi Arsene Wenger atakuwa anafanya bonge la kamari kwamba wanaweza kuwatumia Lucas Podolski na Nicklas Bendtner kuwafungia magoli.

Wenger anajaribu kuiga mtindo wa Barcelona wa kutokuwa na mshambuliaji na badala yake wachezaji wa kiungo ndio wanakuwa watafutaji nafasi au vyumba na ndio wafungaji haohao na ikitokea basi mshambuliaji Olivier Giroud nae anafunga.

Arsenal wanatumia mtindo wa 4-3-2-1 na ni mtindo ambao una matatizo pale inapokutana na timu ambazo hupanga wachezaji 10 kulinda eneo lao.

Hii itakuwa ni "biggest gamble of its kind" kama Wenger hatasajili mshambuliaji katika kipindi hiki ambacho wapo kwenye kuelekea kwenye "pole position" kuweza kutwaa ubingwa.
 
Wakuu mu wapi mbona kimya?

36271_186x236.jpg


Arsenal wanazungumza tena na Real Madrid kuhusu Alvaro Morata.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Sasa zimebakia dakika 40 muda wa usajili kwisha.

COY Arsene Wenger!

COYG

Ni Papiss Cisse au Alvaro Morata.
 
Dirisha la usajili limefungwa rasmi.

.........Dahh!

It's not looking good kwa hali iliyopo, labda asubuhi tutaamka na breaking news.....otherwiise.....

We are bare to the bone kwa squad tuliyonayo mpaka mwisho wa msimu, but Arsene Wenger knows better
 
Kwa hiyo Wenger kashindwa kutusajia Mshambuliaji wa kusaidiana na Giroud???!!!!!

Naona sasa Wenger anajipalilia njia ya kutokuchuku Ubingwa Msimu huu.
 
Kwa hiyo Wenger kashindwa kutusajia Mshambuliaji wa kusaidiana na Giroud???!!!!!

Naona sasa Wenger anajipalilia njia ya kutokuchuku Ubingwa Msimu huu.

Podolski, Bendtner na dogo Sanogo.....
In Arsene Wenger I trust, anything is possible.....

Giroud mlikuwa mnambeza katokea Ligue1, sasa hivi ni kati ya strikers tishio EPL,.....

Tuta miss magoli ya Ramsey na Walcott, but Carzola, Podolski, na Dead Ball specialist #KimKallstrom wataweka mambo sawa....
 
Kwa hiyo Wenger kashindwa kutusajia Mshambuliaji wa kusaidiana na Giroud???!!!!!

Naona sasa Wenger anajipalilia njia ya kutokuchuku Ubingwa Msimu huu.

Kwani mkuu ulitegemea tutabeba ubingwa mwaka huu? Nafasi ya kubeba ilikuwa ndogo na bado ni ndogo hata kabla ya usajili huu mdogo.
 
na huyu ndiye atakayewapiga man u kati ya 4 tutakazowapiga


Huyo mganga wako amekudanganya mtashinda goli 4
Kumbuka yule kijana wenu Wenger aliyetuzawadia atakuwa fit,kama kawaida ndio atafunga goli la ushindi
 
Huyo mganga wako amekudanganya mtashinda goli 4
Kumbuka yule kijana wenu Wenger aliyetuzawadia atakuwa fit,kama kawaida ndio atafunga goli la ushindi
Umekariri kijana....!! Subirini dozi
 
.........Dahh!

It's not looking good kwa hali iliyopo, labda asubuhi tutaamka na breaking news.....otherwiise.....

We are bare to the bone kwa squad tuliyonayo mpaka mwisho wa msimu, but Arsene Wenger knows better

Maneno haya ndio yampayo jeuri huyu mzee, sio siri bila striker wa maana hakuna uwezekano wa bingwa na mwaka huu pia.
 
Kwa hiyo Wenger kashindwa kutusajia Mshambuliaji wa kusaidiana na Giroud???!!!!!

Naona sasa Wenger anajipalilia njia ya kutokuchuku Ubingwa Msimu huu.

Ubingwa!!! Are you kidding me? Manchester City are already cemented at the top. Don't keep your hopes up,u'll be disappointed.
 
Nikiwa kama FAN's wa Arsenal...nakubali kwa mara ya kwanza tena "This is another trophy-less season"...!! Sitakuja ijutia hii kauli hata kama we can DO better.
 
Back
Top Bottom