Mkuu,
We nunua android tablet bana, it's cheap na naamini hutojutia. Naelewa, haya ma-iPad au ma-iPhone ni aghali sana lakini android si gharama kiviiile; blackberry humu JF naona watu wanazitangaza kwa bei ya laki 2 hadi laki 3; bado unaweza kununua na kwendana na maisha yanavyotupeleka!
Karibu
Dah hapo kwenye nyekundu umenikatisha tamaa kabisa,manake mie kipato changu ni chini ya dola moja kwa siku sasa unaposema sio ghali kivile halafu unaongelea mambo ya laki 2 mpaka 3 basi JF mtakua mku fiti.