Wadau nawasilisha App hii ya Music ambayo itawezesha upatikanaji wa nyimbo za maudhui tofauti tofauti DOWNLOAD HAPA . Application hii ni kwa watumiaji wa simu zinazo support Android tu.
Jamani embu kuweni waelewa wa mambo, huyu ameuliza hajasema kuwa yeye ndio amesema ila ameambiwa na kusikia hivyo anatakakujua ukweli kama kuna anaefahamu lolote mtufahamishe na sio kumzodoa, kuuliza sio ujinga
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne kwa mwaka 2011.
Matokeo ya kidato cha nne 2011 yametoka RESULT
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2011 ~ Hassbaby's (Mapacha)
Check hapo.
Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008
Matokeo ya form four 2008
Matokeo ya...
Waungwana hizi social network tuwe makini nazo binti mrembo ameuwa baada ya kukutana na rafiki wa facebook ambae amekuwa mpenzi wake, wakiwa hotelini jamaa mwengine ambae alikuwa x wa huyo dem akatokea na kuanza kumkata mapanga mpaka kumuua, angalieni na watu mnaokutana nao jaman mtapotea
Tazama...
Ajali ni ya meli ya Spice ambayo imetokea usiku na mpaka sasa kuna baadhi ya miili ya watu imepatikana, Watanzania tuwaombee hawa wenzetu waliotutangulia, Mungu zilaze roho za marehemu mahali pema peponi amina.
Habari na picha zaidi Zanzibar Ajali BREAKING NEWS: AJALI, MELI IMEZAMA ZANZIBAR WATU...
Jamani hivi hii ni kweli au wanatuchezea akili? Sugu huyu huyu aliyeikataa Fiesta now anaisifia! angalia hiyo video kwa makini mi nahisi wameichakachua
SUGU VIDEO
Mwana dada Wema juzi katika Serengeti Fiesta ya Morogoro wakati Diamond anaimba nae akapanda jukwaani kumpa kampani ila cha ajabu ghafla akaanza kuonesha makalio yake juu ya jukwaa, hii huu ni uungwana kwa mtu aliyewahi kuwa Miss Tanzania? au ndo zile bhangi hazijaisha bado?
www.hassbabymapacha.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.