HUU ni utoto!HAWA ndio mabinti wanaopenda ubrazaman tu ktk maisha ila sio maisha.
toka lini vigezo vya ndoa vikawa kimo?tupostie picha za wazazi wako TUONE.
wewe endelea na ufuska wako usitake kueleza FIKRA ZENU mnazodanganyana na masistadu wenzako.
Hao waliokushauri eti, mtu mwenyewe...
KAKA ukianza tu kumuhoji Mungu na kumfananisha na chochote ,tayari unaanza kufuru!
"ALLAH IS UNIQUE ,HANA MTOTO,HANA MAMA ,HANA BABA"SASA UNAWEZAJE KUMFANANISHA NA KIUMBE!?
Hafanani na CHOCHOTE ,huyo ndiye mkuu wa wakuu, mfalme wa wafalme, anamiliki bingu,ardhi, rizki,njaa , anamiliki Vifo, afya , mjuzi wa dawa na magonjwa!" WEW UNAULIZA KAFANANAJE?"
DUNIA inatabia ya kurejea uliyofanya kwa wengine!
Ukitaka kumuadhibu mtu kwanza pima yote aliyowahi ku kukufanyia AWALI,je hakuna Haya DOGO jema alilofanya,kama lipo tumia hilo kumsamehe.
HALAFU kwa kauli yako,umetamka "aliyekuwa mpenzi wangu" Dada wapenzi hawafiki polisi/mahakamani ,labda...
Jambo la ndoa ni jambo jema, Mungu akujalie na akupe ujasiri huo .
nakushauri,
1.usiwape nafasi waseja/WASIOPENDA NDOA KUKUSHAURI-watakupotosha
2.wasikilize WALIO KATIKA ndio
3.usianze kufikiria matatizo ya ndoa BALI mafanikio ya ndoa. (Matatizo ni jambo la kawaida)
4.usianze KUTAFUTA mchumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.