KAKA ukianza tu kumuhoji Mungu na kumfananisha na chochote ,tayari unaanza kufuru!Kuna sehemu nimeuliza anamiliki nini?
hujui kama gene zinabadilika?mbona DNA zetu hazifanani kama tuna common ancestry sijaribu kusema kuwa tumeumbwa ila jibu lako ni cheap mno.
Kwani Mungu kusema " kwa mfano wetu" ina maana ya sura? Cast your net wide in your thinking. Secondly, jua kwamba, xhanzo cha binadamu ni Africa, ila hii haina maana ya rangi. Kwa taarifa yako, ni gene ya mwaafrika tu ndio ina uwezo wa kukode rangi yoyote duniani from very black to white.Mungu amemuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake.
Dunia hii ina watu wa rangi mbali mbali. Kuna wazungu, waafrika, waarabu, waasia, n.k.
Swali linakuja, je, Mungu amechukua sura ya watu wa wapi hapa duniani? Ni mweusi au mweupe? Mwarabu au muasia?
Mkuu, ebu eleza kidogo, ni kwa mfano upi labda!??Kwani Mungu kusema " kwa mfano wetu" ina maana ya sura? Cast your net wide in your thinking. Secondly, jua kwamba, xhanzo cha binadamu ni Africa, ila hii haina maana ya rangi. Kwa taarifa yako, ni gene ya mwaafrika tu ndio ina uwezo wa kukode rangi yoyote duniani from very black to white.
Mzungu na mzungu hawaeezi kuzaa mtu meenye ngozi ya rangi nyeudi lakini pure black na pure black wanazaa mtoto mweupi hadi watu wakashangaa wakati wazazi ni weusi pure. Hii inamaanisha kuwa black African ana codes za rangi zote katika genetic make up yake. Genetic researcher mmoja aliwahi kusema kuwa, watu wote duniani wakiuawa ila waafrika wakaachwa, watazaliwa tena wazungu, wahindi, wachina etc.Mkuu, ebu eleza kidogo, ni kwa mfano upi labda!??
Namaanisha hapo uliposema kuwa haina maana tumeumbwa mfano wa sura ya Mungu... Unamaanisha nini...Mzungu na mzungu hawaeezi kuzaa mtu meenye ngozi ya rangi nyeudi lakini pure black na pure black wanazaa mtoto mweupi hadi watu wakashangaa wakati wazazi ni weusi pure. Hii inamaanisha kuwa black African ana codes za rangi zote katika genetic make up yake. Genetic researcher mmoja aliwahi kusema kuwa, watu wote duniani wakiuawa ila waafrika wakaachwa, watazaliwa tena wazungu, wahindi, wachina etc.
Sura na rangi ni vitu viwili tofauti,kama katuumba kwa sura yake basi kumbuka watu wote hao uliowasema tuna sura zinafanana,rangi tupa mbaliMungu amemuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake.
Dunia hii ina watu wa rangi mbali mbali. Kuna wazungu, waafrika, waarabu, waasia, n.k.
Swali linakuja, je, Mungu amechukua sura ya watu wa wapi hapa duniani? Ni mweusi au mweupe? Mwarabu au muasia?
Mfano wa kitu unaweza ukawa wa rangi, maumbile au functionality. Kwa hiyo unapoongelea Sura, unajilimit maana kinachofanya ubinadamu sio Sura bali Ni vitu vingi kwa pamoja.Namaanisha hapo uliposema kuwa haina maana tumeumbwa mfano wa sura ya Mungu... Unamaanisha nini...
Sijui ana sura ipi ila naamini ni mfano wa Mwanadamu, Mwanaume.Upo nje ya mada ndugu.
Leo tunataka kujua sura ya Mungu.
Hiyo mada yako ilete siku nyingine kwa uzi mwingine.