Aisee hizo ngoma mimi hua nazisikia lakini huwa nazipuuza najua labda uko kuna vigodoro vya uswahilini vinaendelea tena mi nazisikia mida yaa saa tisa kwenda saa kumi....duu aisee uku Mtwara kiboko[emoji119]
Mi nauliza swali.....Nilijaribu kufanya meditation,hio siku ilikua usiku nimelala nilikua nausoma huu uzi nikasema ngoja nijaribu, tena nikafanya ile ya kuvuta pumzi nikwa nimelala chali .....kilichotokea ni kua nikawa naota ...katka hi ndoto nikua niliota nikiwa mtaani kwangu natembea kuelekea...
Ndugu wala huwezi kuwa harsh hata kidogo ni swala la kumueleza tu kua huamini katika hizo dini akaelewa na maisha yakaendelea !Alafu kwani usipoamini ndio mwisho sa maisha yako ndugu.....Sema sasa wafia dini watakupinga sana kana kwamba ndio walileta hizi dini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.