Kuona wachawi kuna maana gani?

Kuona wachawi kuna maana gani?

Hiyo kweli, kuna sehemu nilipata kuishi yaani ilikuwa ikifika muda kati ya saa 7 hadi 9 usiku, nasikia kelele za ngoma za kiasili plus mayowe na vigelegele kama kuna sherehe zile za vijijini flani. Sikuwahi hata kuzijali ila siku moja nikamuuliza mtu na akanambia hizo ni ngoma za wachawi na inavyosemekana kuna eneo tunalopakana nalo ndio huwa makutano yao

hii ilinipa hofu sana yaani ikifika usiku hata nikisikia watu wanaongea au kutembea nje bhasi mapigo ya moyo yanaenda kasi na kutetemeka. Nikisikia kishindo chochote najua tayari washafika ila baada ya muda flani nilikaa sawa baada ya kuona mara nyingi najichezea akili mwenyewe
Miaka ya nyuma nikiwa kama nina 14yrs hv nilikwenda mkoani,nilikua na mama mdgo mlokole haswa haswa tena enzi hizo ulokole ulikua "special "basi usiku mida ya saa 4 tupo wawil tu tunatembea barabarani tukaona kama watu wawili wamesimama wanacheza aliangusha maombi ya ajabu kwa muda kama dk 10 hivi mimi nikiwaza wakisogea atua 1 tu kuja nakimbia, mara akapita baba mmoja alikua na tochi kumulika kumbe ni miti miwili inapelekwa na upepo tu ila akili zetu zilituaminisha wale ni watu,japo huyu ma mdgo anaamini mpka leo alikutana na majini😂
 
Miaka ya nyuma nikiwa kama nina 14yrs hv nilikwenda mkoani,nilikua na mama mdgo mlokole haswa haswa tena enzi hizo ulokole ulikua "special "basi usiku mida ya saa 4 tupo wawil tu tunatembea barabarani tukaona kama watu wawili wamesimama wanacheza aliangusha maombi ya ajabu kwa muda kama dk 10 hivi mimi nikiwaza wakisogea atua 1 tu kuja nakimbia, mara akapita baba mmoja alikua na tochi kumulika kumbe ni miti miwili inapelekwa na upepo tu ila akili zetu zilituaminisha wale ni watu,japo huyu ma mdgo anaamini mpka leo alikutana na majini😂

😂😂😂😂
daaahh mama mdogo hataki kukubali
 
Vichawi vya humu jf huwa vinajifanya kupotezea nyuzi zinazozungumizia uchawi hapa jf kwa kuponda kwamba hakuna uchawi au ulikuwa na malaria [emoji2] [emoji2] [emoji2] !
Mara nyingi wachawi hawataki kukubali watu wafunuliwe maarifa.

Maarifa ya nguvu za giza ni silaha dhidi yao. Wanaogopa.
 
Ndio ila ukila kitimoto hata wachawi hawaji kabisa nyama nyekundu sio nzuri sana ..

Huku kwetu tunawaona wanga wamenasa kwenye mabati deile
Kuna uhusiano gani kati ya mapepo na nguruwe katika spiritual realm?

Biblia inasema, yesu aliyaamuru mapepo yawaingie nguruwe, kisha nguruwe wakajitosa majini wakafa.

Hii inamaanisha nini hasa?
 
Hiyo kweli, kuna sehemu nilipata kuishi yaani ilikuwa ikifika muda kati ya saa 7 hadi 9 usiku, nasikia kelele za ngoma za kiasili plus mayowe na vigelegele kama kuna sherehe zile za vijijini flani. Sikuwahi hata kuzijali ila siku moja nikamuuliza mtu na akanambia hizo ni ngoma za wachawi na inavyosemekana kuna eneo tunalopakana nalo ndio huwa makutano yao

hii ilinipa hofu sana yaani ikifika usiku hata nikisikia watu wanaongea au kutembea nje bhasi mapigo ya moyo yanaenda kasi na kutetemeka. Nikisikia kishindo chochote najua tayari washafika ila baada ya muda flani nilikaa sawa baada ya kuona mara nyingi najichezea akili mwenyewe
Aisee hizo ngoma mimi hua nazisikia lakini huwa nazipuuza najua labda uko kuna vigodoro vya uswahilini vinaendelea tena mi nazisikia mida yaa saa tisa kwenda saa kumi....duu aisee uku Mtwara kiboko[emoji119]
 
Kuna uhusiano gani kati ya mapepo na nguruwe katika spiritual realm?

Biblia inasema, yesu aliyaamuru mapepo yawaingie nguruwe, kisha nguruwe wakajitosa majini wakafa.

Hii inamaanisha nini hasa?

Mapepo yalikufa na wale nguruwe hawa tunaokula cc hawana mapepo
 
Nakumbuka nikiwa mdogo, angalau miaka 6-7, katika kijiji kimoja ndani ndani huko Tanzania, niliwahi kushuhudia wachawi wakiingia ndani ya chumba nilicholala nyakati za usiku mzito.

Niliweza kuwaona wachawi kila mara walipoingia ndani ya chumba kwa siku tofauti tofauti.

Walikuwa wanawake angalau watatu au wanne waliokuwa uchi na walijifunga vitu kiunoni mfano wa kamba. Niliwatizama katika mwanga hafifu wa giza lakini niliwaona na kuwashuhudia kwa macho yangu.

Ni kumbukumbu halisi ambazo hazikuwahi kufutika mpaka nimekuwa mtu mzima.

Sifahamu kama mtu wa kawaida anapoweza kuwaona wachawi ni jambo linalokubalika katika ulimwengu usiionekana?

Ama huenda katika umri ule, nilikuwa nina uwezo wa kutizama wachawi katika ulimwengu usioonekana?

Baada ya kuanza kukua, sikuweza kuwaona tena.

Niliwashuhudia wakitembea na kuwanga ndani ya chumba. Kila nilipojaribu kupiga kelele, mama yangu alikuja mbio na kisha wachawi walikimbia na nilivisikia vishindo vyao vizito kama vya tembo.

Je, hili linaweza kumaanisha lolote?
Kwanza nikurekebishe tembo na kilo zote zile alizonazo akipita mgongoni mwako km hutageuka huwezi jua km kapita maajabu ya mungu anazidiwa kishindo hata na kuku kishingo...tuendelee na mada
 
Vichawi vya humu jf huwa vinajifanya kupotezea nyuzi zinazozungumizia uchawi hapa jf kwa kuponda kwamba hakuna uchawi au ulikuwa na malaria [emoji2] [emoji2] [emoji2] !
Haaaaaaahaaaa ndio kawaida yao hawataki kabisa tuongelee hilo suala
 
Kwanza nikurekebishe tembo na kilo zote zile alizonazo akipita mgongoni mwako km hutageuka huwezi jua km kapita maajabu ya mungu anazidiwa kishindo hata na kuku kishingo...tuendelee na mada
Hahaa
 
Miaka ya nyuma nikiwa kama nina 14yrs hv nilikwenda mkoani,nilikua na mama mdgo mlokole haswa haswa tena enzi hizo ulokole ulikua "special "basi usiku mida ya saa 4 tupo wawil tu tunatembea barabarani tukaona kama watu wawili wamesimama wanacheza aliangusha maombi ya ajabu kwa muda kama dk 10 hivi mimi nikiwaza wakisogea atua 1 tu kuja nakimbia, mara akapita baba mmoja alikua na tochi kumulika kumbe ni miti miwili inapelekwa na upepo tu ila akili zetu zilituaminisha wale ni watu,japo huyu ma mdgo anaamini mpka leo alikutana na majini😂
Mshukuru tochi, mngesali hadi asubuhi ndo mngeshtuka alaa...
 
Miaka ya nyuma nikiwa kama nina 14yrs hv nilikwenda mkoani,nilikua na mama mdgo mlokole haswa haswa tena enzi hizo ulokole ulikua "special "basi usiku mida ya saa 4 tupo wawil tu tunatembea barabarani tukaona kama watu wawili wamesimama wanacheza aliangusha maombi ya ajabu kwa muda kama dk 10 hivi mimi nikiwaza wakisogea atua 1 tu kuja nakimbia, mara akapita baba mmoja alikua na tochi kumulika kumbe ni miti miwili inapelekwa na upepo tu ila akili zetu zilituaminisha wale ni watu,japo huyu ma mdgo anaamini mpka leo alikutana na majini😂
Yaani wewe jamani..
 
Mtoto anaona sababu bado anakuwa hana dhambi.

Ukikua mwili unakuwa najisi kwa uzinzi na mengine mengi haswa kula nyama
Haswa uzinzi[emoji375]...wataalamu walishaelezea sana Humu.

Ila kama mtu ni special hajawahi zinzi + mwenye toba,uwezekano ni mkubwa sana kuona visivyoonekana!
 
Miaka ya 2012 pale Pasiansi MWANZA barabara ya Airport nilidamka mapema kuwahi basi stendi mida ya saa kumi kasoro alfajiri nilikutana na mchawi kabisa anawanga tena kwenye mwanga anaonekana kabisa tukapishana tu kila mmoja na safari yake.​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom