Ndoto za Kimweri
Member
- Nov 4, 2017
- 33
- 20
Msimu huu bei ya korosho imeendelea kupaa hadi kufikia sh. 4010 katika mnada wa jana huko Tunduru. Tukipata fedha hizi tujitahidi kujiwekea akiba kidogo.
Nawasilisha.
Nawasilisha.
Ijumaa Tarehe 10, November 2017, umefanyika muendelezo wa minada ya zao la korosho ambapo taarifa zimeonyesha ule uliofanywa na TANECU umevunja rekodi kwa kufikia bei ya Juu ya hadi Tsh 4128.Msimu huu bei ya korosho imeendelea kupaa hadi kufikia sh. 4010 katika mnada wa jana huko Tunduru. Tukipata fedha hizi tujitahidi kujiwekea akiba kidogo.
Nawasilisha.
Mfumo uko hivi, vyama vya ushirika vinakusanya korosho kutoka kwa wakulima alafu wanaenda kuuza kwa matajiri wakubwa. Baada ya mauzo vyama vinaenda kulipa fedha walizopata kwa wakulima.Wanaouza kwa wanunuzi ni wakulima wenyewe au kuna watu wananunua na kuuzia hao wanunuzi wakubwa?
Kwa hiyo kama Mimi nataka kufanya huo ujasiriamali mpaka niwe na mashamba yangu cyo?Mfumo uko hivi, vyama vya ushirika vinakusanya korosho kutoka kwa wakulima alafu wanaenda kuuza kwa matajiri wakubwa. Baada ya mauzo vyama vinaenda kulipa fedha walizopata kwa wakulima.
Ijumaa Tarehe 10, November 2017, umefanyika muendelezo wa minada ya zao la korosho ambapo taarifa zimeonyesha ule uliofanywa na TANECU umevunja rekodi kwa kufikia bei ya Juu ya hadi Tsh 4128.
Taarifa iliyotolewa na Media Coordinator, Brayson Mshana mapema leo imethibitisha bei hiyo na ile ya MAMCU ambao wao wameuza bei ya juu Tsh 4050.
“Mnada wa Leo wa TANECU uliofanyika kijiji cha mtopwa bei ya juu shiling 4,128/= na bei ya chini shilingi 4,010/= . Jumla ya tani 12 zimeuzwa taarifa zaidi nitawatumia kampuni zilizonunua korosho , MAMCU wao wameuza bei ya juu 4,050/= na bei ya chini Tsh 3,800/=″ ameandika Mshana kwenye taarifa yake kwa WanaHabari
Sasa baada ya taarifa hizo, BecaLoveTz.Com imeyanasa maandishi yaliyoandikwa na Katibu Tawala wilaya ya Nanyumbu, Salum Palango kwenye Ukurasa wake wa Facebook ambapo amefunguka kuhusu maendeleo yanayoendelea kufikiwa na minada hii na kusema Rekodi ya mnada wa leo ndiyo ambayo inaongoza tangu kuanza kwa minada hii.
>>> “Mnada wa KOROSHO KWA Vyama vinavyohudumiwa na MAMCU kwa maana ya Masasi, NANYUMBU na Mtwara uliofanyika Leo Kijiji cha NAMBELEKETELA KATA ya Ziwani Wilaya ya Mtwara, Bei ya Juu ni Tsh 4,050/= na ya chini ni Tsh 3,800/= Aidha mnada wa KOROSHO wa Vyama vinavyohudumiwa na TANECU KWA maana ya NEWALA na Tandahimba Bei ya Juu ni Tsh 4,128/= na ya chini ni Tsh 4,010/=!” ameandika Palango
Palango ameendelea kuonyesha furaha yake kwa mafanikio yaliyofikiwa na serikali ya awamu ya tano kwenye upande wa bei ya zao la korosho kwa kuandika kuwa bei hii ya mnada wa nne Leo, imevunja rekodi ya minada yote iliyowahi kufanyika.
“Jumla ya Tani zilizouzwa ni 13,033.6 kwa MAMCU na Tani 10,000 kwa TANECU! ….RECORD ya BEI YA Tsh 4,128 kwa kilo moja ya KOROSHO KWA sasa ndo Bei ya JUU kabisaaa ikiivunja ya [HASHTAG]#MWAMBAO[/HASHTAG] Lindi ya Tsh 4,065 ya Wiki iliyopita! ” SERIKALI YA WATU KWA AJILI YA WATU”
Ndio mkuu ni lazima uwe na shamba lako na sio kununua kwa wakulima alafu wewe unaenda kuuza ili upate cha juu. Serikali imepiga marufuku kwa wanunuzi wadogo ukibainika jela au faini milion 5.Kwa hiyo kama Mimi nataka kufanya huo ujasiriamali mpaka niwe na mashamba yangu cyo?
Nimekuelewa kiongozi, kwa sasa naamini mtapiga hela kwa kujiamni maana kwa hiyo bei NOAH zitakuwa nyingi sana huko kusini. Hongereni sanaNdio mkuu ni lazima uwe na shamba lako na sio kununua kwa wakulima alafu wewe unaenda kuuza ili upate cha juu. Serikali imepiga marufuku kwa wanunuzi wadogo ukibainika jela au faini milion 5.
Asante sana. Noah zilianza mwaka jana kila kijiji sasa kuna watu 2 au zaidi wanamiliki Noah.Nimekuelewa kiongozi, kwa sasa naamini mtapiga hela kwa kujiamni maana kwa hiyo bei NOAH zitakuwa nyingi sana huko kusini. Hongereni sana
Msimu huu bei ya korosho imeendelea kupaa hadi kufikia sh. 4010 katika mnada wa jana huko Tunduru. Tukipata fedha hizi tujitahidi kujiwekea akiba kidogo.
Nawasilisha.
Kilo 4 hadi 5 (hutegemea ukubwa wa korosho) ya korosho (ghafi) yaani isiyobanguliwa hutoa kilo 1 ya korosho iliyobanguliwaNaomba kuuliza tafadhali,
1kg ya korosho isiyobanguliwa, ikibanguliwa italeta Korosho kiasi gani?