hayo mafuta sio kwamba wanaiba, bali gari ndo linamuibia mmiliki wake, issue iko hivi kila gari ina tech specs ya kuwa inatumia mafuta kiasi gani per km (ikiwa na mzigo au ikiwa tupu) anachofanya tajiri ni kujaza mafuta per km to be travelled na reserve kidogo km 20litres...kinachotokea ni kuwa...
Mwezi wa tano nilikuwa Dodoma ule mji madereva wako smart sana nafikiri miji mingine wanaweza kujifunza pale, nilipanda boda boda mara mbili saa tano usiku lkn kipichonishangaza walikuwa wanaheshimu traffic lights na Pedestrian crossing yaani wanasimama na kusubiri hata km hakuna watumiaji...
Hili ndio jibu, na hata wale mnalalamika nyimbo mnazoomba kwenye radio hazichezwi ni kwa sababu hii pia, DJ anapoanza set yake huwa ana Playlist iliyokamilika kama ataruhusu requests ni km kukushirikisha tu lkn sio lazima apangue Playlist yake afuate yako
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli mkuu kiingereza kiiiingi lakni unaelewa :-D :-D
nakumbuka kuna safu katika gazeti la The Citizen inaitwa TRUST SIGN WRITERS inazungumzia mambo kama haya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.