kinguo
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 440
- 319
Aiseee hii imeondoka na ndugu yangu kabisa.Just recently imeondoka na ndugu yangu ..
Aiseee hii imeondoka na ndugu yangu kabisa.Just recently imeondoka na ndugu yangu ..
Tatizo wanafunga taa za Solar ikifika usiku zinawaka mwanga wa njano tu. Inahitaji umakini sana kuvuka taa nyakati za usiku.Barabara zote ziwekwe taa na ziwe zinawaka na kufungwa camera ambazo control inakuwa Polisi Hq then wale wote wanaofanya makosa magari yao yanakamatwa na kupiga fani kubwa sana.
Na waliosababisha vifo na majeru ni mahakani.
Itakuwa soma kwa watuamiajiaji magari usiku au bodaboda
Poleni sanaJust recently imeondoka na ndugu yangu ..
Police waweke DUI check points kila ijumaa na jumamosi usiku katika barabara zote kubwaUkiwa kama mwanadsm na Mtanzania unayependa maslahi ya nchi yako unashauri nini kifanyike kutatua tatizo hili?
Sawa mkuu wamekusikia..Police waweke DUI check points kila ijumaa na jumamosi usiku katika barabara zote kubwa
Tatizo litaisha
Dah... Ajali nyingi zinasabishwa na ulevi...Dawa yake ni kupiga marufuku matumizi ya vyombo vya moto baada ya saa2 usiku...baiskeli na guta tu ziwepo barabaraniUkiwa kama mwanadsm na Mtanzania unayependa maslahi ya nchi yako unashauri nini kifanyike kutatua tatizo hili?

Hii Bagamoyo road hasa kipande cha Mbuyuni kwenda Tegeta na kipande cha Tangi Bovu Afrikana watu wanakuwa kwenye racing hasa kuanzia usiku wa saa 4, hawa wanaotoka Ubungo na Airport wanarudi makwao wamechoka. Jana kanipita jamaa na spidi kama kaiba gari nikamkuta mataa ya Afrikana kumcheki mtu mwenyewe mhenga dah! nikamhurumia tu,tuchukue tahadhari
alikuwa mwendo kinoma zaidi ya 150 kwa makadirio sasa mwendo wote huo wa nini tena usiku imagine lolote likitokea anajiteteaje.![]()
![]()
![]()
![]()
Una maana gani mkuu hapa ndo kusema alikuwa tiyari ashatangulia mbele ya haki ama.....?
Just recently imeondoka na ndugu yangu ..
Nimeipenda hii ukweliVijana wa DSM wanaotumia vyombo vya moto ni watumiaji wa HOVYO sana wa barabara nyakati zote tu. Sasa usiku ukichanganya na balimi + hakuna askari ndio mtu anaendesha utafikiri yupo Somalia kusiko na sheria. Tunahitaji elimu na kutii sheria iwe UTAMADUNI. Wengi wanadhani kutii sheria ni kwa ajili ya kuwaridhisha askari barabarani pekee.
Hii tegeta kaka baada ya daraja kama unaenda mwengePoleni sana
Imetokea wapi hii?
Acha tu man..Papaa Msofe huyu katutoka!!! Inasikitisha sana!!
Asante mkuu.Pole sana ndugu,...
Ni kweli. Jumamosi usiku nikiwa zangu mitaa ya sinza kuna jamaa kidogo anitangulize mbele za haki. Jamaa alikuwa na kivitz chake anatokea kule La Chaaz. We jamaa wa kivitz cha kijivu kama unasoma hapa pokea p.u.m.b.a.vu zako.
Sent using Jamii Forums mobile app