Hahahahah Kweli farao noma (dhiki)huleta watu Kwa Mungu kama si jeshi nyuma wanaisrael wasingevuka bahari ya sham maybe wangemgomea musa ilaa walivyoona jeshi lafarao linakaribia walivuka Wenyewe
Najiuliza sedekia hakua mtumishi au alikua?kama alikua mtumish wa mungu na anaroho mtakatifu anawezaje kuchukuliwa kuzimu?basi nae hakua na mungu pili hatuna uthibitisho na yasemwayo na kama mungu ameruhusu basi sawa maana alikua na uwezo wa kuzuia
Wadau..nimeitwa kwenye interview na hawa jamaa wa Mott Mc Donald....kama operation support assistant. Kwa mwenye info kuhusu hawa jamaa...anifahamishe na ofisi zao kwa hapa dar zipo wapi. Natanguliza shukrani.
Huyo sio muoaji bali mtangatangaji huyo anapepo inabidi aombewe au kuna kitu anataka kuoka kwako then asepe zake taraatibuuu kwa mkewe na watoto utabaki umetoa macho but all in all hatusemei moyo mungu ndo anajua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.