@Eli79 wengine wanapenda sana kusema tena kwa kubwatuka,.... siwasemi vibaya watoto wa kike ila wengi wao hufanya hivyo though hata wanaume japo si sana.
haa haaa walikuwa wanakera sana..Anasidia sana huyu mdau naona demand za kutaka picha zinapungua maana anawawekea hata wasipohitaj
tunapunguza kelele za kina tangopori
Nimekua nikiona na kusikia watu wakiwasema vibaya wapenzi wao wa zamani, na hata wakati mwingine kutoa hata siri za ndani ambazo hazipaswi kuelezwa kwa watu wengine.
Unaweza kuta labda ye ndio kaachwa , au kaacha haijalishi!.
Je ni kushindwa kuhimili maumivu?, au ndio siku zote lazima apatikane wa kulaumiwa.
Swali kwako mwana JF, kwa nini Utoe siri za Mpenzi wako wa zamani.
Kwa nini Umseme kwa Mabaya tuu ?.
Karibuni.
haa haaa walikuwa wanakera sana..
Lakini mzabzab hizo hasira na kuwaambia watu siri zake za ndani zinahusiana nini?
Nakubali ndio inauma sana.
mi kwa kweli nisiseme uongo!!
x wangu huwa namsema kabisaaaaaa!!!!!!!
ila kwa mazuri tu! nilishamjengea nyumba, nikamnunulia gari tatu za kutembelea nje na ndani,
wazazi wake nikawajengea japo nyumba ndogo si haba, nikawapa mtaji wa biashara, kila wiki anapata safari za dubai na oman kufanya shopping za duka lake la nguo za kike,nimemjengea ofisi yake ya filamu, mshahara wangu anaupokea yeye.. na mambo mengine meengi mazuri!!..
....by.. clement, to sepetunga!!!!
mnafikiaje kuwa ma-X kama hamsemani vibaya?
Hivi kwan wote wanaoachana chanzo hua ni kusemana??
hahah wee bwana hawa wanawake wanakuwaga na nyodo sana wakikubwaga...utasikia oh mwanaume gani wewe....yaani mie nilikuwa nakuvuachupi leo wakuniambia mwanaume gani...loh! lazima nimchambe
Sa mkichambana wats next??kama mmeachana achaneni kwa amani no need kukaa na kuanza kusutana its just so unreasonable...mi nikiachana na mtu naongea nae kama hataki achape lapa no need its just we are not ment for that