PesaNdogo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 1,994
- 1,293
ushauri wa bure, inawezekana hiyo ndio tabia yake huyo. Unajuaje kama hatakufanyia kama alivo mfanyia huyo mwanamke aliyetangulia, utapata maumivu ya moyo maana ukweli ni kwamba yeye hamuachi huyo aliyezaa nae wataendelea tu. Ya nini kujiweka ktk mazingira ya hivyo, wanaume ambao wamezaa sio wa kuaminika mana wataendelea na mahusiano kwa kisingizio cha mtoto.Amemzalimsha mwanamke na mali kamlipia. Sasa hv anadai amtaki kwa sababu zisizo na kichwa wala mguu eti ananipenda mimi anataka tufanye maisha anioe licha ya hivyo.
Bado anawivu lukuki kwa huyo mama watoto wake kila kitu anampangia kufanya na mawasiliano yasioisha mwemwemwe mbona kama naibiwa mbona kama narubuniwa mie mbona kama nadanganywa au anataka kunitumia?kwa manufaa flani?
Wanajamvi saidia mimi niko dilema
Usijiingize Mzima mzima utaumia sana Baadae, narudia wanaume si wakuaminiwa akimaliza haha zake atakugeuka ghafla