Wakati rais jakaya kikwete akiwa amebakiza takribani miaka minne kumalizika muda wake kikatiba huku wanasiasa ndani ya chama tawala ccm wakipigana vikumbo kutaka kurithi nafasi hiyo ya juu katika uongozi wa taifa, jarida la kimataifa la uchunguzi la uingereza la economic intelligence unit...
Mimi nadhani t2silijadili sana hili coz haito saidia kit2 kujadili kwet2 na isitoshe wao ndo wanaendelea kula hela zao t2nazani ndio itaondoshwa iyo posho mpya kwa kujadili kwet2?
Kwa mujibu wa maadili ya jobs(kazi) haitakiwi na sio nidhamu za kazi na jengne nakubali kwamba mt2 yeyote hula kazini kwake lakini nat2mai sio kula hii iliyokusudiwa ktk kaziiiiiiiiii!!! Doctor upoooo!! Fikiri kwanza !!!
Ila nadhani tutakuwa tum-discuss tu kitu ambacho hakina ushahidi mimi nadhani hayo ni maneno ya wanasiasa wanatutafuta tu lakini sidhani kuwa huyo mjama kajiuwa coz ya posho la wabunge kuongezwa natumai sio kweli sababu hamna ujumbe wowote aliowacha kabla ya kufa marehemu aliwa arifu kabla...
Hi nkali tena yawasha lakini nataka niulize yule msanii wet2 watamzania yeye mbona alipenya ktk fagio la chuma au coz watamzania na uchina wanaukaribu sana au urafiki?
Dah ni ketendo cha kusikitisha sana nadhani ikiwa ni ukweli lakinushangaza uyo afande limemuuma ilo la kupandishwa kwa posho la wabunge t2 ?
Hakuyaona ayo mengine kama ya "RICHMOND" na MENGINEYO au nk hayo pia alipaswa akereke na hayo yote nayo yanat2chukiza wengi nchini kwa iyo kutokana na...
Tanzania sasa ni miaka 50 ya uhuru tumesha sherehekea na tarehe 12/12/2011 ndio waziri mkuu alitia hitimisho ya maadhimisho ya kusherehekea
ila kuna kit2kimoja nataka niulize ivi hizi sherehe ni za watamzania (watanzania ) au za wana ccm ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.