Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
Nimeona picha ya kijana aliyekatwa mkono kwa panga kwenye gazeti la majira nikasikitika sana. Hivi hawa jamaa wanataka kuifanya Tanzania kama Somalia?Cuf mmejiua wenyewe, sahauni kwenda ikulu!!!
Chanzo cha tukio ni mvutano kati ya Hamad Rashid na Maalimu Seif, tatizo ni madaraka. Kama hata siasa za ndani hamuwezi kuendesha bila mapanga tukiwakabidhi mizinga na ndege si ndio itatangazwa no fly zone?Hebu toa taarifa chanzo cha tukio ni nini badala ya kuweka ushabiki
wa kisiasa mbele kwanza. we unafikiri Ikulu ni sehemu Rahisi? Muulize
Dr. Salim A Salim ndo utajua ikulu ni ngumu kiasi gani.
Pale zenj kafu iko ikulu kusoma magazeti?ukiwa ikulu lakini huna maammuzi yoyote ya nchi we unatofautiana nini na wafanyakazi wengine wa ikulu?Ile ya zenji sio lkulu?