magaka Makoye
Member
- Sep 11, 2011
- 5
- 2
Wana Jamii kuna jambo limepelekea leo kuuliza mke wa Makamu wa kwanza wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar-Seif Shariff Hamad.
Nimeanza kumtambua Seif tangu nikiwa mtoto mdogo lakini mwenye uelewa wakati ule alikuwa ni Waziri Kiongozi wa serikali hiyo ya Mapinduzi Zanzibar mpaka alipokuja kuwekwa kizuizini na hatimaye kuachiwa mnamo mwaka 1988. Katika miaka yote hiyo sijawahi kusikia Seif ana mke au kumuona ama kuambiwa mke wa Seif Shariff Hamad ni fulani. Nimeonelea niandike humu kwenye forum yetu ili mnifahamishe maana kwenye sherehe za Mapinduzi (tarehe 12/01/2012) viongozi wengi walikuja na wake zao lakini yeye alikuja pekeyake!
Mwenye kunijibu vizuri atakuwa amenisaidia sana maana hata mtoto wa Seif Shariff Hamad sijawahi kumsikia!!! Nisaidieni jamani.
Nimeanza kumtambua Seif tangu nikiwa mtoto mdogo lakini mwenye uelewa wakati ule alikuwa ni Waziri Kiongozi wa serikali hiyo ya Mapinduzi Zanzibar mpaka alipokuja kuwekwa kizuizini na hatimaye kuachiwa mnamo mwaka 1988. Katika miaka yote hiyo sijawahi kusikia Seif ana mke au kumuona ama kuambiwa mke wa Seif Shariff Hamad ni fulani. Nimeonelea niandike humu kwenye forum yetu ili mnifahamishe maana kwenye sherehe za Mapinduzi (tarehe 12/01/2012) viongozi wengi walikuja na wake zao lakini yeye alikuja pekeyake!
Mwenye kunijibu vizuri atakuwa amenisaidia sana maana hata mtoto wa Seif Shariff Hamad sijawahi kumsikia!!! Nisaidieni jamani.