Tanzania sasa ni miaka 50 ya uhuru tumesha sherehekea na tarehe 12/12/2011 ndio waziri mkuu alitia hitimisho ya maadhimisho ya kusherehekea
ila kuna kit2kimoja nataka niulize ivi hizi sherehe ni za watamzania (watanzania ) au za wana ccm ?
Nadhani ni za wana ccm 7bu baada ya wanyonyaji wakoloni kuondoka waliwaachia ccm waendelee kutunyonya kwakushirikiana nao kwahiyo ccm wanasheherekea kwakufaidi rasilimali zetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.