Recent content by hamees99

  1. H

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Shukran sana mkuu kwa thread yako nzur naomba unitag ukiapdate kwan nataka niwe among of 300 pls
  2. H

    JB ataoa sababu ya Bongo movie kufa

    Unapochanganya siasa na kazi lazma upotee na pia scripts zao no mbovu kiujumla hapana wanachojua wao kujipendekeza kwenye siasa tu
  3. H

    Sammy Awamy (Mwandishi wa BBC) jirekebishe, kila 'umbea' unaupeleka BBC-Afrika

    Umenichekesha sana alivyokuwa anaripoti wakati magufuli anafanya usafi kule soko la samaki hukuongea hata alipoenda hazina kwa mguu hukuongea sasa hv anamripoti anakandamiza Uhuru wa watu kujieleza na uchumi mbovu unatoka povu la nn
  4. H

    Ulimwengu mzima kiganjani mwa CIA

    Story nzuri sana hongera sana nimejifunza mengi kumbe marekani ni hatari sana kuliko tunavyofikiri naanza kupata shaka hata Yale mapinduzi ya Tunisia nadhani yenyewe ni master plan
  5. H

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    Mara nyng njia unayotumia kupanda ngaz ndyo utakayoshukia bwana daudi alichagua shortcut way kufikia kilele cha mafanikio na kweli alifanikiwa kwan akiwa kijana mdogo below 30 ashakuwa mtu muhimu na mwenye nguvu ktk serikali sasa naliona anguko lake ktk njia ileile aliyopandia ni muda tu utaongea
  6. H

    Sababu za kitaalamu na za kisayansi kwanini wanaume waoe wake wengi na waruhusiwe kuchepuka

    Nafikiri mwenyez mungu ameumba wanawake wengi kuliko wanaume ili kuleta utulivu ktk dunia hebu fikiria wanawake wangekuwa wachache kuliko wanaume hii dunia ingekalika
  7. H

    CHADEMA hii ni vita,tushikamane kuliko wakati wowote

    Kutajwa kwa manji na wengine ni strategy ili aweze kufikiwa mbowe kuna mengi yatafichuka soon ngoja tubaki kimya
  8. H

    Kufuatia kuteuliwa na Rais Magufuli kuwa mbunge, Profesa Kabudi ashauriwa na wasomi

    Sioni sehemu anayoweza kutokea profesa hyo kwake ni fursa kubwa lazma achukue wasomi wetu Wa Tanzania usiwaamini hata kidogo kwao pesa kwanza taaluma baadae huo ni mtego kashaingia
  9. H

    Tanzania njia panda: Benki ya Dunia ina hisa mgodi wa Dutwa uliofutiwa leseni kujenga tenki la maji

    Siyo rahisi kufikia malengo ya kisiasa kwa kupambana na wawekezaji sitaki kuamini kwamba mlima huo ni lazma tank lijengwe hapo tu na cyo pengine nafikiri kuna kitu ndani ya hili sakata na ninaamini sasa tunajielekeza kuwakimbiza wawekezaji kwan cjui kama kuna mwekezaji ataweza kuja kuwekeza ktk...
  10. H

    Sheikh Mkuu DSM: Diamond acha utani na Mungu, utapotea

    Huyu Shekhe ananichekesha sana si huyu alimfananisha uongozi Wa magu kama Wa swahaba umar bin abitwalibu sasa diamond kuswala rakaa mbili imekuwa kosa kubwa kuliko alilofanya yy na mbona sadaka anazotoa mnazipokea acheni unafiki
  11. H

    Siri ya utajiri wa Majizzo

    Nafikiri kuna mengi ya kujifunza kwake kama kijana aliyefanikiwa kuliko hizi story za kijinga
  12. H

    Rais Magufuli: Wakulima pandisheni bei za mazao kadri mtakavyo

    Ukiwa kama kiongozi Wa nchi ni lazima ujue unaongoza watu Wa aina zote kuanzia matajiri hadi maskini na wakulima wafanyabiashara, wafanyakazi hvyo ni lazma uchague maneno ya kuongea kwani hao wote ni Wa kwako
  13. H

    Rais Magufuli: Magazeti yanayoandika kuna njaa yamenunuliwa na wanasiasa na wafanyabiashara

    Njaa haijifichi wacha tuvute subira time will tell
  14. H

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Ingekuwa busara sana kuelezea kama amefanya hivi na hivi ndyo vimekushawishi otherwise itakuwa unafanya ujasiria siasa
  15. H

    Chidi Benz arudia madawa ya kulevya, Babu Tale aapa kutomsaidia tena!

    Ukiangalia kwa makini hawa jamaa walibase ktk kumsaidia aimarike kiafya ya mwili na cyo kiakili maana alivyonenepa akitoka sober waliona tayar kaacha
Back
Top Bottom