Ulimwengu mzima kiganjani mwa CIA

Ulimwengu mzima kiganjani mwa CIA

Daaaahh

nahisi unacomment alafu hujasoma makala...na kama umesoma basi narudia tena, hujaelewa!

Sadly!
haha mkuu we ndio hujaelewa.......ilitakiwa utuambie hivi....hiyo parachute alitua nayo mjini,porini au kichakani,mlimani...baada ya kutua akaelekea wapi, akafanya nini ........ilikuwa usiku au mchana.....akakutana na nani baada ya hapo n.k
 
Story nzuri sana hongera sana nimejifunza mengi kumbe marekani ni hatari sana kuliko tunavyofikiri naanza kupata shaka hata Yale mapinduzi ya Tunisia nadhani yenyewe ni master plan
 
Watu na fani zao Cia sio watu wa mchezo makala kama haya yanakupa idea how deep they operate kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi za ku install security equipment kwenye nyumba za watu mitaa ya Woodbrige Va, arlington Va, alexandria Virginia, nikakutana na jamaa mmoja ambaye alikuwa retired Cia agent alinipa story nyingi na mambo aliyofanya matata sana kidogo nikatae kuondoka nisikilize story ..... good job dada Nifah
 
CIA ineteresting story yao ni kifo cha Kennedy
Kennedy aligundua CIA ni kama taifa ndani ya taifa
wanajiamulia mambo mengine wenyewe
akaapa kuivunja...akauawa wiki ile ile aliyoapa kuivunja....
uzuri wa CIA wanaangalia maslahi..walimuua raisi kwa maslahi yao, wanaua kwa maslahi ya nchi. nchi nyingine wanaua kwa maslahi ya mtawala!
 
Ndio maana Magu anasema tumuombee na nafurahi kuona vyombo vya ulinzi na usalama vinawajibika kwa Serikali iliyopo madarakani na sio kusikiliza Asasi za kiraia,Media na Chadema wanataka nini.Maana hawa ndio rahisi kutumiwa sababu ya uchu wa madaraka natamani siku moja niandike mada juu ya uzalendo wa nchi na namna ya kuepuka watu kama hawa ila napenda sana kusoma kuliko kuandika.
Ubarikiwe mleta uzi natumai kuanzia sasa utaisapoti Serikali iliyopo madarakani na kuachana na maneno ya wanasiasa uchwara.
 
Ila hizi story sikuhizi kaka haweki sana,sijui kwanini.Shemu naona umeanza kumbadilisha kaka tabia taratibu.
Hii tabia ya Vidume kutumia avatar za kike tena mwaonyesha makalio, hacheni kabisa.
Shemu hili jina "Bay Of Pigs Invasion" naomba umwambie mkuu The Bold aliwekee thread mana lipo humo kwenye uzi huu
 
Story nzuri sana hongera sana nimejifunza mengi kumbe marekani ni hatari sana kuliko tunavyofikiri naanza kupata shaka hata Yale mapinduzi ya Tunisia nadhani yenyewe ni master plan
Hawa watu na hatari sana aisee..asante kwa pongezi mdau
 
Back
Top Bottom