Habarini wadau,
Nimenunua gari used kutoka japana mnamo mwezi wa 5, mpaka sasa nimetembea km 700, sijabadilisha tyres, ninataka niende safari ya mkoani kuna mtu akaniambia itabidi nibadilishe tyre niweke mpya kwasababu tyre gari iliyokuja nazo yawezekana ni kwa ajili ya maeneo ya baridi.
Tyre...
Habarini wadau,
Nina rafiki yangu kwao wamezaliwa watoto wa kike wanne wote. Rafiki yangu ananisimulia kwamba baba na mama wanamjali sana mtoto wao wa kwanza wa kike mpaka huwa wanawaambia sisi tulikua tunategemea wa kiume wa pili ndio wewe ukazaliwa, mtoto wa kwanza wa akifanya kosa...
Yan Moderm ya router 4gLte, Yan computer ina connect na WIFI lakini haiwezi kuingia kwenye Internet, wakati computer yenzake iliyoconnect na WIFI hiyo inaingia kwenye Internet
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini Wadau,
Nina Ofisi yangu hapa Mwanza ya Internet Cafe, hivi majuzi nimeanza kutumia Moderm ya Voda ambayo inasupply internet kwa ajili ya Computer zangu. Sasa Kati ya Computer 5 nilizonazo moja tu ndio ina connect na Inernet kupitia WIFi nyingine zilizobaki zinasoma WIFI na Kuconnect...
Habari za Jumapili Wadau,
Mke wangu amepima kipimo cha mimba inaonyesha Positive, lakini Damu ya Hedhi inaendelea kutoka nini maana yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika muendelezo wa zile Ndoto, leo nimeota nimelala na mwanamke ambae simjui na nimeamka asubuhi nimechafua Boxer yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.