Asilimia ya kodi ya nyumba kwenye Mshahara

Asilimia ya kodi ya nyumba kwenye Mshahara

Hajulikani

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2013
Posts
273
Reaction score
252
Wadau,
Wataalamu wa personal finance kibongobongo unatakiwa kodi ya nyumba isizidi asilimia ngapi ya mshahara wako?
 
Isizidi 10% ya take home ya mshahara wako!
Zaidi ya hapo huwezi kuendelea wala kujenga ya kwako na utakuwa ni kama unamtafutia mwenye nyumba tu.

Faida moja wapo zaidi ni kwamba kodi ya pango ikiwa 10% unaweza kwama kulipa ikitokea dharura na ukamwomba mwenye nyumba mwezi mmoja tu then mwisho wa mwezi unalipa hela yote ya miezi sita au zaidi bila wasiwasi.

Angalizo; Ukiona Kodi ya pango ya miezi sita unaitafuta zaidi ya mwezi mmoja huwezi kuwa na savings na ukikosa savings huwesi kuwekeza na usipowekeza huwezi kuendelea na usipoendelea utabaki hapo hapo huwezi hata kujenga yako.
 
Isizidi 10% ya take home ya mshahara wako!
Zaidi ya hapo huwezi kuendelea wala kujenga ya kwako na utakuwa ni kama unamtafutia mwenye nyumba tu.

Faida moja wapo zaidi ni kwamba kodi ya pango ikiwa 10% unaweza kwama kulipa ikitokea dharura na ukamwomba mwenye nyumba mwezi mmoja tu then mwisho wa mwezi unalipa hela yote ya miezi sita au zaidi bila wasiwasi.

Angalizo; Ukiona Kodi ya pango ya miezi sita unaitafuta zaidi ya mwezi mmoja huwezi kuwa na savings na ukikosa savings huwesi kuwekeza na usipowekeza huwezi kuendelea na usipoendelea utabaki hapo hapo huwezi hata kujenga yako.
Kwa sisi wafanyabiashara je
 
Formula yangu ilikuwa ni kutopanga nyumba ambayo kodi yake siwezi kuifikisha kwa Mshahara wa mwezi mmoja.
 
Back
Top Bottom