Maana ya hizi ndoto za kimapenzi

Maana ya hizi ndoto za kimapenzi

Hajulikani

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2013
Posts
273
Reaction score
252
Wadau niko kwenye Ndoa kwa miaka kadhaa sasa.
Ndani ya miezi miwili iliyopita nimeota ndoto ambazo zinafanana sana;
Ya kwanza niliota mwezi uliopita, niliotamwanaume ambaye simfahamu amekuja nyumbani kwangu mke wangu na mimi tukampokea kama mgeni maalumu, mke wangu akampikia chakula , akamtengea na maji ya kuoga na akaenda kulala nae chumba chetu huku mimi nikienda kulala chumba cha wageni.
Ndoto ya pili nimeota mimi na mwanaume mwingine ambaye simfahamu tunafanya mapenzi na mke wangu kwa zamu, yaani threesome kw kiingereza.

Ndoto hizi zina maana gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana wewe uliletewa mwanamke hukumla kwa kumuheshimu mkeo sijui,ila mkeo kaliwa mbele yako nawe ukaridhia,ko huna ulinz na mkeo humridhishi,

Ukitaka maana zaid mtafute chizi ila anaejielewa msimulie atakueleza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Emu Muulize Mkeo kama kuna Ndoto zozote ameota hasa hizo za kuota kufanya Ngono!

Kwa Uzoefu wangu, mkeo ananyemelewa na Jini Mahaba wa Kiume....Na kama ndivyo ufanye haraka kumkimbiza kabla hayajawa Makubwa!

Usipuuzie Mkuu, Mimi sio Mganga ila nna uzoefu na hiyo situation...
 
Mke wangu ni mtu wa maombi sana, anasema hajwahi kuota@Powder,

Usipuuzie Mkuu, Mimi sio Mganga ila nna uzoefu na hiyo situation...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3]sio wakina incubus au succubus ,lilita ,lilu etc hao

Natania tu hamna chochote ila ..anyway just relax



perdidit in somnis[emoji848]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mke wangu ni mtu wa maombi sana, anasema hajwahi kuota

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Vizuri but Kama hizo ndoto zitaendelea ni mbaya na inabidi wewe pia uanze kuomba!

Ni miezi 2 tu na inaonekana huyo Kiumbe ameshakaribishwa!

Maombi ingali mapema ni jambo zuri kwako!

Ndoto za Majini Mahaba ni Zile zinazojirudia rudia.
 
Mshana Jr hebu ukuje pande hii jamaa anapiga threesome kwa mke wake na mganga wa kienyeji, ila kwenye ndoto.
 
According to bible:

Hayo ni maono.. Mungu anataka kukuepusha.

Ndoto yako inaonesha wake mke wako ndie anae zini kwa ndoto ya kwanza,
-maana yake ni kwamba mke wako kuna roho ya mauti inamuandama, na pia kafa kiroho (kamuacha Mungu).

Ndoto ya pili inaonesha wazi kuwa wew ni muhisika wa kusupport uzinifu huo (mke wako kuzini)
-maana yake ni kuwa unahusika katika kumpoteza kiroho mke wako (amuache Mungu kwa kuacha kusali), pia kama ni kitu kibaya cha kumuathili mke wako kiafya wew unahusika pia.
 
I
Screenshot_20191105-200009_Instagram.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ijapokuwa unasema mkeo ni mwana maombi lakini wewe kinachokupa nguvu ni mizimu ya ukoo wenu.
hizo ndoto wamekuletea mizimu ili kukutahadharisha ya kitakachotokea kwenye ndo yenu.yaani ishara,bado tukio kutokea.Làkini jitathmin mapema kabla hali haijaanza kutokea kweli.
mfano unaamini mkeo ni mwana maombi lakini inawezekana àna mheshimu sana mchungaji wake.ķwa heshima hiyo hata wewe hutilii maanani kilichopo kiçhwani kwa mchungaji waķe wa Kiume.na wewe hiyo heshima unaiona tu.mtu huyo ambaye mnamuheshimu wrote anaweza kumtaka mkeo na kwa sababu ya heshima mkeo atamkubalia tu.
hàpo pa pili ni kwamba na wewe umepoteza ushawishi/nguvu ya utawala kwenye ndoa yako ndio maana unaruhusu tu ujinga kuendelea na wewe unashiriki.
MUULIZE MKEO JE ÀLISHAWAHI KUWA NA HISIA NA MTU YOYOTE?
JE ALISHAWÀHI KUPOTEZA HISIA NA WEWE?
Jikague wewe mwenyewe kama vipi njoo tunywe alkasusu upekele màbadiliko nyumbani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom