Hajulikani
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 273
- 248
Habarini Wadau,
Nina Ofisi yangu hapa Mwanza ya Internet Cafe, hivi majuzi nimeanza kutumia Moderm ya Voda ambayo inasupply internet kwa ajili ya Computer zangu. Sasa Kati ya Computer 5 nilizonazo moja tu ndio ina connect na Inernet kupitia WIFi nyingine zilizobaki zinasoma WIFI na Kuconnect lakini huwezi kuingia kwenye Internet.
Naombeni msaada jinsi ya Kufix
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina Ofisi yangu hapa Mwanza ya Internet Cafe, hivi majuzi nimeanza kutumia Moderm ya Voda ambayo inasupply internet kwa ajili ya Computer zangu. Sasa Kati ya Computer 5 nilizonazo moja tu ndio ina connect na Inernet kupitia WIFi nyingine zilizobaki zinasoma WIFI na Kuconnect lakini huwezi kuingia kwenye Internet.
Naombeni msaada jinsi ya Kufix
Sent using Jamii Forums mobile app