Je, Mjamzito kupata hedhi kuna tatizo?

Je, Mjamzito kupata hedhi kuna tatizo?

Ni kawaida kutokea saa nyingine japo ni mara chache; bado ni muhimu kwenda kumuona daktari wake hili kuhakikisha kila kitu salama.
 
Mkuu hio ni kawaida kwasbb huyo alikua akipoteza siku zake wakati mimba ipo katika mtungo
Na mara nyingi wanawake huwatokea hivyo mimba ikiwa changa na kwa baadae inatulia tu
 
Hilo ni tatizo itabidi ukamuone dr......huwenda mkeo akawa na tatizo lifahamikalo kama Antepartum hemorrhage
 
mkuu pole sana, shemeji yako ilimtokea hiyo (moral pregnancy) mimba inashindwa kujitunga vizuri inakua kama kipnde cha nyama .. wahi hosp akapate matibabu mkuu
 
Wakuu salaam.
Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye mada. Nina mke wangu ambae ni mjamzito mwezi mmoja na wiki mbili. Nimeshangazwa aliponiambia amebleed, lakini hakuna maumivu yoyote. Sasa wakuu hii ni kawaida au ni tatizo tumwone daktari?
Msaada tafadhali.
kubleed ile ya hedhi au ni damu tu inatoka...
Btw, aende hospital kwanza, ili kujua kama kuna shida, na usitishike kwa wanaosema ni mimba imeharibika, kama ile hedhi japo si kawaida ila wapo waenda hedhi mpaka miezi 7 ya ujauzito wengine miezi 9 yote.
Sema tu anatakiwa kuhidhulia clinic mara kwa mara kama itaonekana hana shida.
 
Unatakiwa kujua kama ni damu ya hedhi au damu mkuu maana wengine ni kawaida kwenda hedhi miezi ya mwanzo ya ujauzito japo ni wachache huwatokea nenda hospital kwa dr kwa uhakika zaidi
 
Samahani wapendwa,

Naomba mawazo yenu katika hili eti inawezekana mtu akawa na mimba na bado akapata period(kupata hedhi) akableed?!
 
inawezekana ila damu itatoka kwa siku moja au mbili na ni kwa kiasi kidogo sana na inakuwa very light.
 
Yap kitaalamu inaitwa implantation bleeding lakin damu inakua kama spot matone madogomadogo yanayodumu for a 3 days au it depend coz Implantation bleeding ni vile embryo kujishikisha kwenye uterus wall but kama damu ni very heavy consult ur doctor
 
Na mimi nilitaka nianzishe uzi kama huu..nimepata shida kama hii..mwezi wa tatu sikuona siku zangu nikapima nikaona nina mimba...ila tangu jana nimeanza kuona damu na leop asubuhi bado kama inaanza kuongezeka.nitaenda hosp ,manake naona maajabu
Vp ulipataje majibu kunandugu yangu yamemtokea
Na mimi nilitaka nianzishe uzi kama huu..nimepata shida kama hii..mwezi wa tatu sikuona siku zangu nikapima nikaona nina mimba...ila tangu jana nimeanza kuona damu na leop asubuhi bado kama inaanza kuongezeka.nitaenda hosp ,manake naona maajabu
ulipataje majibu kunamtu yamemtokea apa
 
Back
Top Bottom