Je, Mjamzito kupata hedhi kuna tatizo?

Je, Mjamzito kupata hedhi kuna tatizo?

Siku ya Pili ya Hedhi alipima ikaonekana Positive na leo siku ya 5 ya Hedhi amepima imeonyesha Positive.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo damu unayosema wew ni hedhi ndio mimba kutoka.
Kwahiyo kipimo cha positive kitaacha kusoma badaa ya wiki 2 au zaidi.

Ata mjamzito akitoka kujifungua leo, bado hicho kipimo huwa kinasoma positive.
 
Kwangu mke wangu nilikutana naye siku ya hatari usiku lakini asubuhi siku ya pili alipata damu kidogo hadi wakati haikuwa tarehe yake ya hedhi. Lakini ilipofika tarehe ya kupata hedhi hajapata leo siku ya sita imepita. Hajaenda kupima mimba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu...
Hiy ni hali inayoweza kujitokeza kwa mama mjamzito hasa katika kipindi cha umri wa mimba chini ya wiki ya 28. Baadhi ya sababu zinazoweza sababisha ni
i) Kutoka kwa mimba
ii) Mimba nje ya mji wa uzazi
iii) Uvimbe ktk kondo la nyuma(placenta)
iv) Sababu za kienyeji
Nakushauri umuwahishe mke wako hospital kabla mambo hayaja haribika
 
Ni hali ambayo ni yakawaida, endapo itatoka tone chache tu za damu na kukata.

Supplement for vitamin and iron is needed to all pregnant.
 
Pole sana mkuu...
Hiy ni hali inayoweza kujitokeza kwa mama mjamzito hasa katika kipindi cha umri wa mimba chini ya wiki ya 28. Baadhi ya sababu zinazoweza sababisha ni
i) Kutoka kwa mimba
ii) Mimba nje ya mji wa uzazi
iii) Uvimbe ktk kondo la nyuma(placenta)
iv) Sababu za kienyeji
Nakushauri umuwahishe mke wako hospital kabla mambo hayaja haribika
Ahsante Mkuu..nilienda maternity hospital moja wakamfanyia ULTRASOUND na wakasema hana tatizo na mimba ina miezi 3 na week 3!!!! Wakarekommend bed rest na dawa hawakunipa.ila wakazuia any unyumba activities.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom