Pole sana mkuu, mimi boss wangu alikuwa mpaka ananiita bogus, hakuna unachokifanya kwake kikaonekana chema. Muda wa kuripoti ofisini ni sa mbili kamili ila alikuwa anataka mtu aingie sa moja na nusu. Ukienda lunch one hour anakusema, anasema watanzania ni wavivu wanapenda kula. Muda wa kutoka...
Cha kumliza hapo ni nini hasa? Huyo ni mchoyo mkuu, na hata ukimuoa siku ukiishiwa hawezi kukusaidia kwa lolote. Kama uko tayari kuwa na mke wa design hiyo ni maamuzi yako
Hii thread inafurahisha tu ila hiyo kitu haiwezi kutokea. Ina maana baba mwenye nyumba hajui mwili wa house girl na wa mkewe. Kama house girl alikuwa uchi its obvious kuwa mume ameona kabisa kuwa si mkuewe. Maana mpk amlaze vizuri, amfunike shuka, amkumbatie, yeye hajui tu muda wote. Hilo...
Hapo kiukweli kabisa, tatizo sio la kurusha mtandaoni au nini, ila inavyoonekana huyo mwanaume hayuko proud na mkewe, either hampendi au lah. Hakuna kitu kibaya kama kuonekana hauna thamani. Hapo mwanaume anaona thamani ya amwanamke tu akiwa ndani ila in public haoni thamani yake. Hivi kwenye...
Aisee haya mapenzi haya balaa. We tafuta tu ajira uache maisha yaende. Jifunze kumuacha aende. Si ajabu yeye hata hakukumbuki, wewe uko busy kusema hautasamehe. Mkuu, usiposamehe still moyo wako utakuwa na mzigo sana na hiyo itakufanya usipende tena. Mshukuru Mungu kwa yote na uanze upya...
Inabidi tutafutane maana seems like wote tumeumizwa, tupozane, just kidding. Mkuu hebu jiangalie upya tabia zake yaelekea unamapungufu ambayo wewe mwenyewe ni ngumu kuyatambua. Hiyo hali ilishawahi kunikuta ikabidi nitafute one of my x nikamwambia naomba unichane live yani niambie mapungufu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.