Msaada wa mahusiano plz

Msaada wa mahusiano plz

Mkuu baada ya mechi ulimpa hata buku 5 akanunue vocha au ulimuacha kapa?
 
Subiri ukamatwe ukaiambie Mahakama hayo madudu yako. Mtu umesema amemaliza form4 kwahiyo bado kuna kuendelea na Shule halafu unasema sio mwanafunzi? Mpigie Simu yule Polisi wa Arusha aliyemla yule mdada wa Mazinde Girls kule jela akupe akili za jela maana za uraiani hazikufai
Kha!
 
Ukiona hivyo basi ujue kuna pumbafu kaenda kumpiga mechi kiwango cha lami mpaka kakusahau.
 
Mimi miaka yangu 32 na Dgo ana 20 Mkuu,lkn kwa kawaida mtu ukisex nae lazma akugande tu kwann huyu hayuko hivo?
Duh... brother huyo mwanao... aisee...
Hiyo age gap... itakufanya uweke bifu na jamuhuri.
 
Nimekutana na msichana mdogo sana ni mwanafunzi mhitimu wa form 4,nikamuaproach kanikubalia tumefikia kuwa wapenzi kwa siku mbili tofauti,cha ajabu hajawahi kunipgia simu hata siku moja na tuna miezi 2 tangu tujuane. Je, kukaa kimya kwake kunaashiria nini?

Naomba kujuzwa plz.

NYINYI FORM TWO NGOJENI MATOKEO YENU YAJE,
UTAPORUDIA DARASA NDIPO UTAACHA KUPOST PUMBA.
 
Back
Top Bottom