FINLAND kufuta masomo yote mashuleni

FINLAND kufuta masomo yote mashuleni

Circular motion, fluid dynamics, advanced integral calculus, n.k. unasoma madude kama haya ili uyatumie kwenye nini hapa Bongo?
Ni ngumu mwanzoni kujua hayo madude utayatumia au la.... ndiyo maana wote wanafundishwa, wale wenye kuendelea nayo wataendelea wengine watayatupa chini...... kati ya wale uliokuwa unasoma nao wengine wanayatumia..
 
Kwa Tanzania labda mpaka 2090 maana, very nice kwa kweli
 
Hiyo ni plan bora kabisa.
Unaanza kuona impact ya elimu ya mwanao mapema sana.
Sisi hata mtu anamaliza university hajui anataka kufanya nini kwenye jamii.
Miaka ijayo nitawapeleka wanangu finland wakapate kilicho bora na chenye maana.
 
Circular motion, fluid dynamics, advanced integral calculus, n.k. unasoma madude kama haya ili uyatumie kwenye nini hapa Bongo?
Utamjibu vipi mtu anaekwambia yamekusaidia kupanua ubongo wako. Na ndio sababu unaelewa vitu vingi vingine kiurahisi zaidi
 
hongereni kwa kufuta hayo matakataka,yanajaza tu ubongo
 
Circular motion, fluid dynamics, advanced integral calculus, n.k. unasoma madude kama haya ili uyatumie kwenye nini hapa Bongo?
Duuh! engineers wanatumia sana concept za Fluid dynamics na calculus kwenye utendaji kazi wao. pia hata Economist especially economic planners hutumia sana Calculus Concept to develop an economic model (Formula) that potentially help to predict economic growth in a given period of time. kwa hiyo mkuu, kila kitu kina faida, useme wengine wetu ndo hawajui wafanyie nini...
 
Hiyo ni plan bora kabisa.
Unaanza kuona impact ya elimu ya mwanao mapema sana.
Sisi hata mtu anamaliza university hajui anataka kufanya nini kwenye jamii.
Miaka ijayo nitawapeleka wananguna finland wakapate kilicho bora na chenye maana.
Mkuu, ume-raise issue ambayo ni janga la kitaifa..."kwa mtu kumaliza University harafu ndo hata hajui anataka kufanya nini kwenye Jamii"...Binafsi naona kama ni tatizo la kijamii (Individually based) with little blame to policy makers. Ni kwa sababu jamii (wazazi) wameuachia mfumo ndo uwatengenezee watoto wao huku wao wakiwajibika kwa kiwango cha Bashite! na hapo ndo tatizo linapoanzia. mtoto anatakiwa ajitambue kwanza na wazazi wakimuonyesha njia sahihi ya kupita. Kwa bahati mbaya, jamii imekosa Focus na kizazi cha leo ni matokeo ya jamii hiyohiyo. Binafsi nilisoma Bongo miaka hiyo kuanzia O'level na A'-Level plus degree ya kwanza. lakini nilipoenda ughaibuni kwa ajili ya masters sikujiona tofauti na wengine. Nilikuwa mweusi pekee kwenye darasa letu na nilikuwa zaidi ya celebrity kwa jinsi nilivyokuwa nafanya presentation na kumgomea prof pale ambapo hatukubaliani kwenye issues kadhaa. It begins with you....them... to be what they wanna be! bless up
 
Good idea lakini sijajua level za elimu zitapimwaje wakati hakuna darasa??
 
Back
Top Bottom