Kai Proctor
Member
- Apr 14, 2016
- 40
- 38
Mimi alikua kama wako, ni mtu wa kulaumu, kufokafoka hata mkiwa na maongezi ya kawaida, nikawa nakausha tu, siku moja nikasema kama mbwai mbwai tu, nikamchana sana tena disrespectively kabisa, akawa mdogo, siku hizi tunaenda sawa wala haniletei mikwara ya kijinga. Usiwe mnyonge sana...