vijana tujitizame tunavyotumika kisiasa na maslahi ya tunayoyafanya kwa ajili ya Taifa letu.Tunajiita tumesoma lakini vipimo vya tunayoyatenda hayaendani na kisomo chetu tunachojisifia jamvini kila leo.Hawa vijana wanahitaji ukombozi wa kifikra kwanza maana hawajitambui wanapigania nini.
vijana waliohamia CCM Kukoka CDM Kuhangaika kuwachafua viongozi wa CDM wana nia ya Dhati kupigania maslahi ya watanzania kwa ujumla wao au ni mwendo wa kutumika kisiasa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.