CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,361
- 6,441
mama mmoja analalamika eti serikali haiwasaidii , mpaka sasa wanawake watatu wamebakwa na kufa. Si mliichagua wenyewe, tena huko Lindi CCM ndio mpango mzima. Acha kulalama kula matunda ya kura zenu!