Wakuu naomba kujua kama TBC inapatikata kwenye king'amuzi cha Azam maana nipo mji niliohamishiwa kikazi na king'amuzi cha dstv sijahama nacho.. sasa nauliza ili nikitoka job nipitie cha azam ili nisikose hii world cup..kwa anaefaham plz
TBC1 ipo mkuu...lakini good news nyingine kwasisi tunaotumia AZAM TV tutaona mechi zote kupitia ZBC maana TBC1 watarusha mechi chache........labda TBC2 ndio watarusha zote..
Cheki hii kutoka FB yao...
Na kwa taarifa zilizotufikia,Kwa faida ya wadau wote wa Soka,
Kituo cha Televisheni Cha Zanzibar ZBC wataonesha mechi zote za World Cup!!!
Kwa kuwa na AzamTV yenye hii chanel ya ZBC utaweza kuziona pia bila kusahau chanel ya kitaifa TBC itakayoonesha mechi za World Cup japo si zote...
Hakijaharibika kitu, AzamTV Burudani kwa Wote.
Duh... leo ving'amuzi vya Azam vimeisha mbeya... nimeishiwa pozi... itabidi niende bar
Duh... leo ving'amuzi vya Azam vimeisha mbeya... nimeishiwa pozi... itabidi niende bar
Azam ni nzuri kasoro moja tu ni kutokuwepo Stsar TV na TV live za mipira ya Europa
Duh... leo ving'amuzi vya Azam vimeisha mbeya... nimeishiwa pozi... itabidi niende bar