Recent content by guysniper

  1. guysniper

    Korea Kaskazini yaitia hofu Marekani

    Maafisa wa Marekani wanaamini kwamba Korea kaskazini ilitekeleza jaribio jingine la mashine ya kurushia makombora yake . Jaribio hilo linadaiwa kutekelezwa siku ya Jumatano litakuwa jaribio la kwanza la mashine kama hiyo kutekelezwa na Korea Kaskazini tangu mwezi Machi. Mashine hizo zinaweza...
  2. guysniper

    Walokole mnaoimba usiku mnene Mungu aliwaambia kuwa Yeye hapendi usingizi?

    Na pia biblia inasema Mungu wetu halali wa hasinzii
  3. guysniper

    Walokole mnaoimba usiku mnene Mungu aliwaambia kuwa Yeye hapendi usingizi?

    Kwani Mungu alikwambia kuwa yeye ni binadamu anahitaji kusinzia? Usimweke Mungu katika viwango vya kibinadamu eti anapigiwa kelele hivyo anahitaji kusinzia.
  4. guysniper

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    Si swala la kutaka kujua jamaa yangu,mbona hata Gwajima hakutajwa siku nyingi kama anauza ama kutumia madawa ya kulevya.
  5. guysniper

    Kuanzi 1 March tutaweza kuhama mtandao bila ya kubadili namba, Mobile number Portability (MNP)

    Mfumo Mpya wa Kutumia Namba za Simbu Kuanzishwa Mwezi Ujao,Utaruhusu Kuhama Mtandao Mmjoa Kwenda Mwingine Bila Kununua Laini Mpya. Mfumo mpya wa matumizi ya namba za simu (Number Portability) unatarajiwa kuanzishwa ifikapo Machi Mosi kwa ushirikiano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na...
  6. guysniper

    Manji atakiwa kuripoti Ofisi za Mamlaka ya Uhamiaji. Pasi 126 za kusafiria zakamatwa ofisini kwake

    Ni kwa nini mamlaka ya uhamiaji na sio jeshi la uhamiaji
  7. guysniper

    Hivi ukitoka hesabu ya trilion unaingia ngapi?

    Zlilion ndo ya mwisho kabisa
  8. guysniper

    Ingia kwenye hiyo link hapo chini kisha jisajili upate mkwanja kila mwezi wa maana.

    jamiiforums.com Earn 10$ for every 30 second Task. Internet Job
  9. guysniper

    Series (Special thread)

    Dah mie ni mpnz wa series lkn napenda sana za action kama strike back na arrow pia marvels agent of shield ni balaa
  10. guysniper

    Polisi mkoani Tanga wakamata bunduki za kivita na sare za kijeshi zilizotumika kufanya uhalifu.

    Jeshi la Polisi mkoani tanga limefanikiwa kukamata bunduki tatu aina ya shotgun Bastola moja,risasi 51 pamoja na mavazi ya jeshi la wananchi ambazo zimetumika katika vitendo vya uhalifu kwa kupora fedha na mali mbalimbali kisha kuua mmoja kati ya wafanyabiashara wilayani Kilindi. Kamanda wa...
  11. guysniper

    Dr. Slaa aomba ukimbizi Canada

    [emoji3]
  12. guysniper

    Dr. Slaa aomba ukimbizi Canada

    Kumalizia maisha kama mkimbizi hata haileti maana bora kujifia tu
Back
Top Bottom