Mkuu wa kaya mwenyewe alishasema ambao hawataki kusoma wacharazwe viboko na wakifeli wakafungwe sababu elimu inatolewa bure wao hawataki kusoma. Kwanza huyu hakupewa dozi inayostahili, wangemtegua kiuno ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia za ununda. Na hyo alierekodi hyo video ajiandae...
Mi nadhan mizuka kama alivowahi kusema sugu ndio inayoendelea hapa. Tatizo la viongozi wetu wanafanya maamuzi bila kufuata principles za natural justice. Siwatetei walimu kwa walichokifanya ila cha msingi wanaotoa maamuzi wanapaswa kusikiliza pande zote. Huenda kuna mengi yaliyojificha nyuma ya...
Mbona wajeda wanahenyesha madenti kwenye skuli zao hampigi kelele na wala hatuoni matamko kwa mawaziri na mapolisi na wakuu wa mikoa? Nijibuni basi au mnaniogopa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.