Recent content by Gulio Katerero

  1. G

    Rais Magufuli, Kwa hili la kubana matumizi umeshashindwa!

    Mwambie bana maana hakuna namna
  2. G

    Kwanini Dar-es Salaam tu,tena Ubungo Bus terminal tu?

    RC na Ma DC wa Dar es salaam hili hamjaliona? Kama alitumbuliwa kabwe darajani mmeshindwa nini kuondoa hizi tozo zisizo na tija kwa mwananchi?
  3. G

    Walimu tunanyanyaswa sana

    Hadi hapa sijaona kosa lolote mkuu upo sahihi 100% big up, WAKIMWAGA MBOGA TUNAKULA UGALI! HATUTAKI UJINGA SISI
  4. G

    Cheki majina ya ajabu-ajabu kwenye phonebook

    Asha Kiduku Salome Mapangaboi
  5. G

    Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

    Mkuu wa kaya mwenyewe alishasema ambao hawataki kusoma wacharazwe viboko na wakifeli wakafungwe sababu elimu inatolewa bure wao hawataki kusoma. Kwanza huyu hakupewa dozi inayostahili, wangemtegua kiuno ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia za ununda. Na hyo alierekodi hyo video ajiandae...
  6. G

    Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

    we jamaa hatari sana
  7. G

    Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

    Na wapigwe tu maana hakuna namna
  8. G

    Hivi hili la walimu ni kubwa kuliko matukio mengine nchini?

    Mi nadhan mizuka kama alivowahi kusema sugu ndio inayoendelea hapa. Tatizo la viongozi wetu wanafanya maamuzi bila kufuata principles za natural justice. Siwatetei walimu kwa walichokifanya ila cha msingi wanaotoa maamuzi wanapaswa kusikiliza pande zote. Huenda kuna mengi yaliyojificha nyuma ya...
  9. G

    Baba yangu alivyowahi kupigwa jiwe na mwanafunzi mwenye kiburi

    Mbona wajeda wanahenyesha madenti kwenye skuli zao hampigi kelele na wala hatuoni matamko kwa mawaziri na mapolisi na wakuu wa mikoa? Nijibuni basi au mnaniogopa?
  10. G

    Satelite zina kaaje huko juu bila kujazwa mafuta?

    Nadhani hadi hapa wanajamvi washajua mlevi ni nani. Spendagi ujinga mie
  11. G

    Satelite zina kaaje huko juu bila kujazwa mafuta?

    Tanzania tunayo moja inaitwa Kigamboni satellite city ipo maeneo ya fun city karibu na dar es salaam zoo
  12. G

    Kupatwa kwa IFM

    Anaenda kusomea udereva wa mwendokasi
Back
Top Bottom