Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mwandae nyumbani !! sio we anakushinda then unampush kwetu!! unategemea nini kama sio kuaply busara za role model wangu Mike Iron Tyson.


We mwalimu kichwa maji. Hapa tulikuwa tunaongea jinsi gani ya kumwandaa mtoto kisaikolojia. You study or you don't deserve to be in this school. Ndio hivyo ndio tulivyofanyiwa sisi, na tulisoma kwasababu tuliogopa kurudi nyumba.
Sio unavuta bangi zako unampiga mtoto kama ngoma. Na muwaonee hao hao watoto wa walamba lips, ingekuwa mwanangu ndio anapigwa vile kwa kisingizio cha discipline hadithi ingekuwa tofauti. Nafikiri huyo Waziri wenu angetoa agizo mzazi akamatwe mara moja.
 
Naona nawewe unataka kufukuzwa kama kweli wewe ni mwalimu!!!! Mtoto akijitetea sio kwamba ana kiburi anajitetea. Angalia kama utetezi wake ni wa uongo ndipo uchukue hatua. Tena tumeambiwa kumbe sheria ni viboko vitatu tu!! Nyie mbona mnawapiga lundo la viboko!!! Big up Prof. Ndalichako, Mwigulu na Simbachawene. Fukuza tu hawa wanaopiga watoto! Wanapiga utafikiri wako vitani nao. Si muende Syria mkawapige ISIS!!!! Tutawasifia sana na kuwapa hongera. Waacheni watoto wetu!!!! Mwite mzazi wake sio kuwapiga hivyo.
Tena huwa sihangaiki na mzazi !!
kuna siku nilishusha kipondo kwa kadenti furani ambako kwasababu ya wingi wa chunusi usoni kalihisi kamekomaa !!

kakaleta mzazi !
mzazi anasema anataka kujua kwanini mtoto wake amechapwa !!
nikamwambia mkuu tumia busara kumfukuza huyu mzazi !! tofauti na hapo nae atahusika na [HASHTAG]#bakora[/HASHTAG].
Aliaga mwenyewe.

Stakagi ujinga Mimi.
 
Tena huwa sihangaiki na mzazi !!
kuna siku nilishusha kipondo kwa kadenti furani ambako kwasababu ya wingi wa chunusi usoni kalihisi kamekomaa !!

kakaleta mzazi !
mzazi anasema anataka kujua kwanini mtoto wake amechapwa !!
nikamwambia mkuu tumia busara kumfukuza huyu mzazi !! tofauti na hapo nae atahusika na [HASHTAG]#bakora[/HASHTAG].
Aliaga mwenyewe.

Stakagi ujinga Mimi.
we jamaa hatari sana
 
Tena huwa sihangaiki na mzazi !!
kuna siku nilishusha kipondo kwa kadenti furani ambako kwasababu ya wingi wa chunusi usoni kalihisi kamekomaa !!

kakaleta mzazi !
mzazi anasema anataka kujua kwanini mtoto wake amechapwa !!
nikamwambia mkuu tumia busara kumfukuza huyu mzazi !! tofauti na hapo nae atahusika na [HASHTAG]#bakora[/HASHTAG].
Aliaga mwenyewe.

Stakagi ujinga Mimi.
Sasa mkuu Boko haram na ISIS wanatesa watu wakati nyie mpo!!! Si muende mkasaidie hao wananchi!!!!!
 
Jamii Forum Nilikuwa naiheshimu sana zamani,siku hizi naona pumba tu,TENA KILE KITOTO KINGENIKUNJA MIMI NINGEKING'OA MENO YA BARAZANI,NA MZAZI ANAYEKUJA KUTETEA UJINGA NINGEMTOBOA MACHO.


Unaongea kama one man show. Labda matokeo we ndio ungelazwa hospitali ya rufaa.
 
Nachekelea njooni kufundisha shule maalumu za walemavu huku rahaaaa.
 
We mwalimu kichwa maji. Hapa tulikuwa tunaongea jinsi gani ya kumwandaa mtoto kisaikolojia. You study or you don't deserve to be in this school. Ndio hivyo ndio tulivyofanyiwa sisi, na tulisoma kwasababu tuliogopa kurudi nyumba.
Sio unavuta bangi zako unampiga mtoto kama ngoma. Na muwaonee hao hao watoto wa walamba lips, ingekuwa mwanangu ndio anapigwa vile kwa kisingizio cha discipline hadithi ingekuwa tofauti. Nafikiri huyo Waziri wenu angetoa agizo mzazi akamatwe mara moja.
na pesa zako za [HASHTAG]#madafu[/HASHTAG] unaita watanzania wa JPM walamba lips !! hata huko FEZA anakosoma hatandikwi ila akirudi kitaa utashangaa mtoto mchele mchele!! unaweza ona jinsi shule za walamba lips zinavyotunza ulijari !! kweli we PAGAN.
 
Kuna watu wanaongea wasiyoyajua, by the way wazazi ndo tumeshindwa kuwalea watoto vyema hadi wanawapiga/kuwagomea walimu halafu walimu wakichukua hatua kulalamika kwa sana! Mara ngapi polisi wamepiga mhalifu kwa kisingizio cha kutokutii sheria bila shuruti??
umedhihirishia dunia kuwa You deserve to be a Doctor ! you might be one of my previous student !!
 
Kwanni ulichagua kazi ya ualimu kama makato makubwa then uhamishie stress za makato kwenye adhabu kwa watoto watu
 
Nachekelea njooni kufundisha shule maalumu za walemavu huku rahaaaa.
afadhari mkuu wewe uko huko !! ningekuwa najua ABCs za how to teach Stu's with Autism ningeshaenda muda tu.
 
Mkuu wa kaya mwenyewe alishasema ambao hawataki kusoma wacharazwe viboko na wakifeli wakafungwe sababu elimu inatolewa bure wao hawataki kusoma. Kwanza huyu hakupewa dozi inayostahili, wangemtegua kiuno ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia za ununda. Na hyo alierekodi hyo video ajiandae kufumuliwa marinda
 
Mkuu wa kaya mwenyewe alishasema ambao hawataki kusoma wacharazwe viboko na wakifeli wakafungwe sababu elimu inatolewa bure wao hawataki kusoma. Kwanza huyu hakupewa dozi inayostahili, wangemtegua kiuno ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia za ununda. Na hyo alierekodi hyo video ajiandae kufumuliwa marinda
Wakati akiwa [HASHTAG]#Chato[/HASHTAG] aliuliza " hivi nani kafuta viboko" nahisi hata mkulu anamshangaa Ndalichangu !!
 
Back
Top Bottom