Tukumbuke ndoa ni kama biashara tu, inahitaji muda, rasilimali na uongozaji ili ipige hatua. Wanandoa wengi baada ya kuingia kwenye ndoa hujisahau na kuoana kwa kuwa tumeshaoana basi yote yamekwisha. Hawajui kwamba ndoa yenyewe ni namna gani wataishi maisha ya kila siku kwa lengo la kuiboresha...
Tuko tofauti sana trust me, hatukatai wapo wanaofanya kwa upumbavu ila wapo wengi pia ambao ukisema utajitutumua kumridhisha utaishia kukimbia mwenyewe au kuhisi anakukomoa, ndo maana option ya kuongeza mke haikwepeki lakini kwa wenye uwezo tu (uwezo hapo ni kuwahudumia vyema financially na...
Hujanielewa vyema mpendwa, kutumia mapaja ya mkeo inategemea na mwanaume dada angu, kuna marijali kweli kweli ambaye hata umfanyie mbwembwe kiasi gani na hayo mapaja wala hafiki, hivi unafahamu kwamba kuna wanaume hawafiki kileleni wanapotumia condom? Watu wako tofauti mwingine ili amalize ashki...
Njia ni moja tu dada angu hizo nyingine amini usiamini zina madhara kiafya, Mungu hakukosea kuumba hiyo njia kama usahihi wa kuondoa matamanio
Sent using Jamii Forums mobile app
Mosi, Mimi kama mwanaume napingana kwa 100% na nyumba ndogo kwani huo ni uzinifu na uzinifu wowote hauna matokeo mema hata kwa huyo mzinifu mwenyewe achilia mbali ndoa ya huyo mzinifu.
Pili, huenda Mshana jr hakuwa na nia mbaya kabisa na alikuwa na point kubwa sema uwasilishaji wake ndo haukuwa...
Hiyo mpaka uitazame kwa jicho la pili ndo utaelewa, jicho la ufasiri wa fasihi simulizi, ila kwa macho ya kulia chakula huwezi elewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima kwake, hakutaka kuropoka hovyo hovyo kwani kuna wenye akili na wasio na akili, alitaka ujumbe uwafikie wenye akili ndo maana akatumia fasihi kuwasilisha alichokuwa nacho
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia common sense mdogo wangu, lile tamko lilitolewa na jeshi na mkuu wa mkoa amelizuia ili kwanza wampe sababu za agizo hilo, naimani katika hizo sababu polisi watajibu na hizo hoja pia zilizotolewa, wewe ulikurupuka tu kukataa lakini mwenzako ameomba reasons, na naimani Makonda alikuwa aware...
Mwanangu alikuwa na shida ya ngozi kubabuka, nilihangaika na dawa ndo kuna doctor akanishauri ninunue hiyo, alipaka few times na tatizo limeisha up to now, pia inafanya miguu kuwa soft.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeupenda uchambuzi wako mkuu, heshima kwako. Huo mzaituni umetajwa pia kwenye kitabu cha waislamu Mwenyezi Mungu akiapia kwa huo mti.
Hata leo hii unatumika kwa tiba mbali mbali hata specialist wanaurecommend kwenye hizo tiba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu ila nakushauri upambane tu na hali yako mapema, maana kikatiba bado yupo sana hadi 2020, pia nasikia tetesi eti watz wanataka aendelee tu siku zote. Jiandae kisaikolojia mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie pigeni kelele ila mjiandae kisaikolojia mapema maana zisipojirudia tano au zaidi sijui, kama nawaona na kandambili zenu mkienda kupiga mbizi kwenye swimming pool ya kaunda, mnyama unyamani lazima mpakatwe. This is Simbaaa (in Manara's voice)
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.