Recent content by GodHaveMercy

  1. G

    Arsenal

    poleni sana mashabiki wa arsenal popote mlipo.......... that's how football is..
  2. G

    Kweli slaa alishinda urais!!

    kukimbia tatizo si njia ya kulitatua.
  3. G

    naomba msaada

    achana na hayo mambo rafiki, kama unadinda wakati wa kusex, inatosha. Unataka Mungu akupe nini zaidi?
  4. G

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    nimeipenda hiyo ya mwisho "tyetyetye" ha ha haaaa
  5. G

    Kuanzisha Biashara

    kwa ishu ya capital, nakushauri utafute mkopo toka bank, au financial institution yeyote. kama utakua na assets kama vile nyumba au plot, itakua rahisi zaidi kupata mkopo.
  6. G

    New proverb

    A single drop does not make a rainfall. "WE ARE WHAT WE ARE AND WHERE WE ARE, BECAUSE OF OUR OWN ACTIONS"
  7. G

    hodi hodi

    karibu sana jamani! jiskie Home jamani.
  8. G

    More Job Opportunities - 10/05/2010

    ahsante sana mtu wangu. ila naomba nifafanulie kidogo hapo kwenye Sales Representative, ni sifa zipi zinatakiwa? organization gani inahitaji huyo sales rep? na pia naomba utusaidie contacts zao. thanks!
  9. G

    Hellow

    U are warmly welcome!
  10. G

    Hivi kujua lugha ya kiingereza ndiyo usomi Tanzania?

    Ukisikia 'kutawaliwa kifikra' ndio huku. Sijui wabongo tukoje...!? Ndivyo ilivyo hata huku mtaani kwetu, ukipiga maneno mawili matatu ya kimombo, basi macho yote kwako. Wanakuona ndio msooomi. Kujua lugha flani ni sehemu tu ya ujuzi na si kila kitu. Ni kweli kuwa Englsh iko juu sana na ni muhimu...
  11. G

    Mgeni

    Karibu saaana mgeni wetu! :-) Tupo pamoja na wewe!
  12. G

    Mbu anauma au anadunga?

    Mara chache chache, nimekua nikiwafuatilia akina Kibonde na Gadna, Clouds FM, ktk kipindi chao kinachoanza karibu kila siku jioni. Siku moja waligusia utofauti wa matumizi na utofauti wa maana ya maneno kati ya lugha moja na nyingine, au sehemu moja na nyingine. Hapo ndipo waligusia kuwa, wakati...
  13. G

    Lugha

    Naskia hao BRTSH CONC. wanamkasi mrefu ( tuition fee) ukiogopa 'mkasi' rafiki yangu unaweza usifikie lengo lako. Mambo mazuri yana gharama. Hizi kozi za bei rahisi nyingi "za kichina". Napenda pia kukushauri kuwa, wakati au baada ya kupiga kozi yako, jiweke ktk mazingira flani...
  14. G

    CCJ yazidi kukomba... usajili wa kudumu wanukia!

    Mh! Nina wasiwasi hapa yatajirudia yaleyale ya NCCR na baadaye TLP. Au kama si hivyo hawa 'wahamaji' naona wanatafuta njia ya 'kujitafunia', nadhani CCM kumebana sana. Hii point ya kusema kitu kama 'tunahama kwa sababu tumechoshwa na ahadi hewa za CCM..' na vitu kama hivyo, sioni kama ina-sound...
Back
Top Bottom