GodHaveMercy
Member
- Apr 25, 2010
- 35
- 2
Mara chache chache, nimekua nikiwafuatilia akina Kibonde na Gadna, Clouds FM, ktk kipindi chao kinachoanza karibu kila siku jioni. Siku moja waligusia utofauti wa matumizi na utofauti wa maana ya maneno kati ya lugha moja na nyingine, au sehemu moja na nyingine. Hapo ndipo waligusia kuwa, wakati huku Tanzania bara tumezoea kusema "nimeumwa na mbu", kumbe kule kwa wenzetu, Zanzibar ni tofauti. Kule utasikia "nimedungwa na mbu". Bado sina uhakika nani yupo sahihi kati ya mtanzania bara na mzanzibar. Naomba mwenye kufahamu animegee. MBU AUMA AU ADUNGA??? Kiswahili hicho!