Huwa namsikiliza huyu jamaa kwa kiasi (Japo naweza nisikuzidi kwa kumfahamu) na baadhi tu ya kazi zake nazozifaham ni kama vile; 'Niite Songa, Hisia za moyoni, Yule jamaa, Baada ya kila kitu aloimba na "Umbwa", Hero, Enzi za utoto, Sio Lazima, mwendelezo aloimba na One na nyingine unazoweza...