Wanandugu Hali Ni Mbaya makampuni mengi sana na siyo yote yanayojitangaza Lakini watu wanapunguzwa sana kazi. Tatizo Ni kuwa biashara imeshuka sana na siku zote mfanyabiasha anachoangalia Ni faida Kwa hiyo sehemu ya kwanza kukimbilia Ni kupunguza wafanyakazi. Kwahiyo tuache vijembe visivyokuwa...
Tuwe serious kidogo, CPA bila experience hamna kitu na kwenye private sectors determinate Ni performance Na hii yakuanza kuulizia mishahara utapata kichaa maana kuna watu hawana hiyo CPA Na take home yao Ni above 5 million, malizia mwenyewe CPA kwenye hiyo kampuni analipwa bei gani! Bottom line...
Wameanza kutoa masters tokea ikiwa IDM, that is 1990's kwa hiyo hakuna rapid transformation hapo. Jua historia ya Mzumbe kwanza kabla ya kuanA comments zenu za kuangalia Chuo kipi zaidi. Ok fine how about IFM??
Ndugu yangu naomba uniwekee hapa matamko yote ya vyama vya upinzani yaliyotolewa kuhusu hizi vurugu ukianzia na tlp, nccr, cuf,etc kabla hujaanza kuinyoshea vidole chadema.
Watanzania wajinga ni wachache siku hizi na kwa taarifa yako hatudanganyiki. CCM na vyombo vyote vya usalama ndio janga la taifa hamtaki kusoma alama za nyakati.
Ama kweli nyani haoni kundule, DK Hussein Mwinyi mtoto wa raisi mstaafu mwinyi, January Makamba mtoto wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Vita Kawawa???, Malima???, nk.........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.