Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,090
Km haupo uwanjani basi sorry mm nilifikiria ni mchezaji na sisi ni washangiliaji /mashabiki kumbe wote ni mashabiki tunatiana mabuti jukwaani wakati wchezaji wanakosa mabao nakuuana
By OKW BOBAN SUNZU
Kiherehere cha nini, kwa nini usisubiri Tumaini Makene atupe ripoti kamili na ubaki kama mchangiaji tu
sipo kwenye tukio mkuu,ama ulimaanisha kitu gani?maana naona unamix madawa hapa.
mkuu umeokota wapi hitarifa? acha kiherehere
Kiherehere cha nini, kwa nini usisubiri Tumaini Makene atupe ripoti kamili na ubaki kama mchangiaji tu