Hali mbaya: Makampuni ya simu yaanza kupunguza wafanyakazi. ITV yasogeza mishahara mbele

Wenzangu wa ccm msiwe na mashaka hili Panga ni kwa wapinzani tuuu ndo wanatakiwa kuisoma namba popote walipo.

No any stone left unturned
 
Safari hii tutadaiana hata madeni ambayo tulikuwa tumeshasamehe miaka iliopita
 
Ni bora uchumi ukayumba kwa sasa ili tuujenge ipasavyo kwa leo na vizazi vijavyo. Hawa jamaa viburi viliwazidi. Mfano mdogo tu ni kwenye mb zao na dakika zao katika vifurushi namna vinavyoliwa utapenda. Walikuwa wakikusanya mapato makubwa mno bila ya kulipa kodi stahiki, kitu ambacho nenda duniani kote hutakikuta.
 
Inabidi wapunguzwe tu, nimekwenda kusajili laini yangu zaidi ya mara 5 na kila nikicheki kwa *106# naambiwa usajili haujakamilika, yaelekea wengine hawajui kazi zao!
 
Hii inaonyesha hali ni ngumu mtaani, lakini ajabu makampuni haya ya simu badala ya kutafuta njia mbadala za kuendelea kuhudumia wateja kwa gharama ndogo wao ndio wanapandisha gharama kila siku kwa kupunguza ujazo wa vifurushi na kukata makato makubwa kwenye miamala.

Acha waisome namba, wakati wenzao TBL wanatengeneza bia zenye ujazo mdogo kwa bei ndogo ili kwenda na hali ya wateja, wao wanapunguza ujazo wa bundles ili kumkomoa mteja tena bila taarifa wala maelezo yeyote ya msingi.
 
Wanandugu Hali Ni Mbaya makampuni mengi sana na siyo yote yanayojitangaza Lakini watu wanapunguzwa sana kazi. Tatizo Ni kuwa biashara imeshuka sana na siku zote mfanyabiasha anachoangalia Ni faida Kwa hiyo sehemu ya kwanza kukimbilia Ni kupunguza wafanyakazi. Kwahiyo tuache vijembe visivyokuwa na Kichwa wala miguu. Serious measures are needed now!
 
Sijui kama Raisi anaona hilo ni tatizo!!Hili ni tatizo kubwa taasisi ya uraisi iliyo makini wangekuwa wameshalishughurikia ili swala,madhara yake ni makubwa huko mbele maana serekali inategemea mapato toka sekta binafsi kwa hiyo zikiyumba huko mbele serekali nayo itabidi ipunguze wafanyakazi maana haitaweza walipa mishahara
Serikali haiwezi punguza wafanyakazi kumbuka kuna waliorudishwa kupisha uhakiki jua wafanyakazi hawatoshi
 
Kama wanapitia hapa juzi nimeenda kununua halotel ili nipate huduma zao...kwa vile natumia.sana intrrnet kuliko kupiga na sms...sasa line yao nimenunulila simu ya nokia ya tochi obama na kuiweka huko...haiwezekan kila siku wanapandisha .garama za huduma...eti 500 mb 70.
Hee jaman mlio huko hamen..njoo hukuuuu
Na watafilisika kweli,,.maana tunaowahama ndio sisi wateja wao tuliokuwa tunawapa jeuri,
Go halotel bonge la mtandao
 
Back
Top Bottom