Eti unamuajiri Prof. Albert Eisenstein na 'Prof. bwna yule' alafu unalazimishwa kuwalipa mishahara sawa! So fun.Sure swala ni uwezo wako wa kufanya kazi maana wako mpaka maprofesor ambao ni fyenge tu.
Certified Public Accountantnaona mnaongea sana wengine mnawaacha nyuma,CPA ni nin?
Duuuh kumbe,niliombaga kaz sehem na degree yangu yamarketing wakanambia niweke hiyo cpa me nilijua ni Gpa,likawa tatizo,lugha gonganoCertified Public Accountant
Kweli wewe ni mtu mzima sasa, maana hayo uyasemayo yalikuwa zamani. Hv sasa elimu na ujuzi vinazingatiwa.nimegundua humu watoto wengi sana.
na wengi wenu hamjawahi kuajiriwa kwenye corporates na kuona mfumo wa formal sector ulivyo.
sikilizeni kwa makini vijana. msijidanganye.
mshahara haupangwi kutokana na elimu uliyonayo. bali unapangwa kutokana na position scale.
hata kama wewe ni profesa. kama kwenye kampuni ukipangiwa kufanya kama secretary wa bosi. basi utalipwa mshahara wa level ya secretary wanavyolipwa.
hata kama wewe ni darasa la saba. kwenye kampuni ukiajiriwa kama ceo.. hapo utalipwa mshahara kwa scale ya ceo ilivyopangwa..
ukiwa bank teller hata uwe na master, cpa sijui phd.. utalipwa kwa scale ya bank teller.
inshort mshahara unapangwa kutokana na cheo ulichonacho. au kazi unayoifanya salary scale yake ni shilingi ngapi.
interesting....Duuuh kumbe,niliombaga kaz sehem na degree yangu yamarketing wakanambia niweke hiyo cpa me nilijua ni Gpa,likawa tatizo,lugha gongano
Dah..hivi marketing ni zaidi ya production?Yaani kazi zingine bwana....hivi CPA ni zaidi ya Marketing?

Huu ni uchocheziUnaongelea vyeti au ujuzi!?
Professionals ni Udaktari na engineer, mengine ni kusikilizia tu!
Zamani NABOCE ilikuwa dili,dah tunetoka mbali.hebu acheni utoto jamani siku hizi demand ya CPA imeshuka sana tofauti na zamani,nawajua CPA Holder kibao bado wapo kitaani wanabangaiza tu,miaka ya nyuma ilikuwa ni nadra sana kukuta halmashauri kuna hawa watu ila siku hizi wapo tele wamejaaa.
pia mshaara unategemeana na kampuni inatengenezaje faida hasa huku kwenye private sector ila serikalini unaweza ukapigwa TGS D,PGS 12-14 nk hii ni kwa wanaoanza kazi bila uzoefu
Sasa na wewe ulihabgaika kusoma ya nini wakati picha yako ipo kwenye pesa ya kingdom yenu ya ZAMUNDA,na hata baba yako alishangaa kusikia eti umeajiriwa pale MC DOLLS hotel wakati dhabau za mikufu yenu tu ungeweza kununua kisiwa.inawezekana ukawa sahihi kutokana na waliokuzunguka. Mimi ndani ya mwezi huu nimeenda interview 5 na zote walikuwa wanataka CPA(T). Hii kitu ma company makubwa na yale ya kizungu CPA(T) ni deal sana.
Wasomali na waarabu ndio hawa i value kwa sababu mishahara midogo.
UKIWA NA CPA NA UKAJUA KUITUMIA NI MSAADA KWAKO.
MPAKA SASA KUNA CPA(T) SIO ZAIDI YA 6000. WENGINE WAMESHASTAAFU NA WENGINE WAMEHAMA FIELD.
WASIO NA CPA NDIO WANASEMA HAINA DILI, NASHUKURU MUNGU CPA INANISAIDIA NA NINAONEKANA MUHASIBU NILIYEKAMILIKA.
NA UKIWA NA UZOEFU NDIO ALMASI MCHANGANI
Wapotoshe tu,kazi zenyewe ziko wapi,wewe huenda ulipewa ki-note.Tunashindwa kuelewa CPA haifanyi kazi anaye fanya kazi ni Mtu..
walio wengi ambao wana CPA alafu hawana kazi ni wale watoto wa college waliounganisha wana lack experience, walio wajanja wanaomba intership mda kidogo tu wanakuwa lulu,, kama una CPA usijirahisishe kabisa arifu,
omba hata 4M net
:smile-big::embarassed2:
Sasa na wewe ulihabgaika kusoma ya nini wakati picha yako ipo kwenye pesa ya kingdom yenu ya ZAMUNDA,na hata baba yako alishangaa kusikia eti umeajiriwa pale MC DOLLS hotel wakati dhabau za mikufu yenu tu ungeweza kununua kisiwa.
Kweli wewe ni mtu mzima sasa, maana hayo uyasemayo yalikuwa zamani. Hv sasa elimu na ujuzi vinazingatiwa.