Gharama ya usafirishaji wa mizigo kwenye bandari ya Dar es Salaam yawa chache zaidi kuliko Mombasa
Habari zinasema gharama ya kusafirisha mizigo kutoka bandari ya Dar es Salaam hadi Bujumbura imekuwa dola 1.80 za kimarekani kwa kilomita moja,ambapo gharama za kusafirisha kutoka bandari ya...
Magu anatumia fursa kwa wakati.. wakati alshababu wanaichapa na kuichafua kenya kimataifa kwa kuonekana sio sehemu salama.. sisi huku tuna ongeza madege tuu na kuboresha kila kilichokuwa hakipo ili watalii waje kwa wingi na huyu jamaa yetu magu hataki mchezo kabisa na tz yake.. viva tz viva...
endelea kufatilia matokeo ya shule izo.. usiache kabisa... fuatilia idadi ya wanafunzi wanao graduate ndani ya mwaka, divisions wanazo pata..
mwaka huu 2016 hizo shule zipo top ten... girls ya nne na boys na tano.. lkn ni shule pekee zenye idadi kubwa ya watahiniwa ndani ya top ten.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.