geofizor
Member
- Jun 5, 2014
- 59
- 26
Gharama ya usafirishaji wa mizigo kwenye bandari ya Dar es Salaam yawa chache zaidi kuliko Mombasa
Habari zinasema gharama ya kusafirisha mizigo kutoka bandari ya Dar es Salaam hadi Bujumbura imekuwa dola 1.80 za kimarekani kwa kilomita moja,ambapo gharama za kusafirisha kutoka bandari ya Mombasa ni kiasi cha dola 3.10 za kimarekani..
Ripoti ya uchunguzi juu ya mambo ya usafirishaji kwenye “ushoroba wa kati” pia imeonyesha kuwa gharama hizo kutoka bandari ya Dar es Salaam hadi Kigali imekuwa dola 1.90 za kimarekani kwa kilomita moja, ambapo kutoka bandari ya Mombasa ni dola 2.10 za kimarekani. Hali ambayo imeonyesha kuwa usafirishaji wa mizigo kupitia “ushoroba wa kati” ni wa bei nafuu zaidi ikilinganishwa na njia ya kaskazini.
source CRI kiswahili
Habari zinasema gharama ya kusafirisha mizigo kutoka bandari ya Dar es Salaam hadi Bujumbura imekuwa dola 1.80 za kimarekani kwa kilomita moja,ambapo gharama za kusafirisha kutoka bandari ya Mombasa ni kiasi cha dola 3.10 za kimarekani..
Ripoti ya uchunguzi juu ya mambo ya usafirishaji kwenye “ushoroba wa kati” pia imeonyesha kuwa gharama hizo kutoka bandari ya Dar es Salaam hadi Kigali imekuwa dola 1.90 za kimarekani kwa kilomita moja, ambapo kutoka bandari ya Mombasa ni dola 2.10 za kimarekani. Hali ambayo imeonyesha kuwa usafirishaji wa mizigo kupitia “ushoroba wa kati” ni wa bei nafuu zaidi ikilinganishwa na njia ya kaskazini.
source CRI kiswahili