Safari yangu ya dhahabu Botswana

Safari yangu ya dhahabu Botswana

Mnao mkosoasoa mtoa story mtulize makasesela yenu! Nawaambia tuliza!!
 
Huu uzi ulipaswa kuisha kwa episode 2 au 3.
Isipokuwa anachofanya mwandishi ni kuingiza maelezo mengi ambayo siyo ya lazima sana.

Mfano angalia episode ya 1 na 2, akitaja eneo la hapa Bongo mfano mwenge mataa anataka elezee hapo mwenge mataa kuna nini, aelezee mpaka wauza magazeti hapo,,aelezee mama lishe, aelezee vibaka, haya yote ni kurefusha stori.


Issue ni safr anapaswa kunyoosha safr ilivyokuwa basi, lakini asilimia 95% ya maelezo yanazunguka hapa hapa bongo tu.

Endeleeni tu hizi tabia za kuanzisha uzi kupima upepo Mungu asaidie huu uishe salama.
Story telling is an art and art doesn't have a formula. Muache ahadithie anavyotaka ndo style yake ya uandishi na kuhadithia.Makasiriko ya nini?

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Shida yenu tukiwaamini kdg na story zenu mwisho wa siku mkisimangwa kdg mnasusa
 
Uongozi wa jamiiforums.com naomba muwe mnafuta hizi nyuzi inakuwa ntu anakutia nyege tu kumuweka hunuweki bhn
Watu km nyinyi mnakera sana aisee kwann usimpe anayeleta hbr km hii nafas ujui anaish mazingira gani?? Shubamitttttt
 
Huu uzi ulipaswa kuisha kwa episode 2 au 3.
Isipokuwa anachofanya mwandishi ni kuingiza maelezo mengi ambayo siyo ya lazima sana.

Mfano angalia episode ya 1 na 2, akitaja eneo la hapa Bongo mfano mwenge mataa anataka elezee hapo mwenge mataa kuna nini, aelezee mpaka wauza magazeti hapo,,aelezee mama lishe, aelezee vibaka, haya yote ni kurefusha stori.


Issue ni safr anapaswa kunyoosha safr ilivyokuwa basi, lakini asilimia 95% ya maelezo yanazunguka hapa hapa bongo tu.

Endeleeni tu hizi tabia za kuanzisha uzi kupima upepo Mungu asaidie huu uishe salama.
Wajuaji mshaanza tena..mnataka tukose na huku
 
"Mniwie radhi kidogo nitaleta mwendelezo mda sio mrefu"
Maneno ya mwisho ya midnght
 
Back
Top Bottom