Hv yule Anjera Kiziga anatitle gani tena pale ikulu, si ameshakuwa mbunge huyu mbona leo pale Ikulu wakati Raisi Chakwera anaingia nimemuona kwenye mapokezi na imepostiwa leo (Maelezo News IG)?
Futa hiyo point yako ya Corona. Hao unawatetea wenyewe wamekubari, hv leo tungekua tumewekwa lockdown tungeishije kwa uchumi upi? Si tungekufa kama kuku
Tulisurvive kutokana na jasiri wa mwendazaje, ok, kazingua sawa but not to this extent.
Hili Taifa tushakula laana from the start, na...
Ujuaji mwingi sana Bongo. Na hasa ukiendelea kuwaskiliza hao kina Lema. Hao ambao wanavaa Barakoa wanapona? Tunahitaji Neema ya Mungu.
Mara huyu anapewa chanjo still anacomplain damu inaganda sasa tusimamie wapi? tuache ujuaji na mkumbo
Afro East mule kuna ile ngoma inaitwa “Mpaka kesho” yamoto sana. Album Launch imeifanya iyo Afro East kuwa kubwa sana lkn me cjaona ule ufundi wa kijana wa kimakonde. Ngoja nipime ndani ya week 2 hv lile vibe, kama bado itakuwa inatrend.
#WabongoSieWanafkiSana
Sent from my iPhone using...
Mbinu za kibiashara tu hizo mkuu, Serengeti Lite 330ml anauza sana. Yaweza ikawa sababu ya Castle Lite kupunguza ujazo aweze kucompete vzr
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hv Harmonize aliondoka Wasafi kisa Diamond au akina Babu Tale, Salam Sk na Mkubwa Fella. Sijawahi kumskia Diamond akisema chochote?
Sent from my iPhone using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.