Coronavirus - Bado Mengi Hayajulikani

Coronavirus - Bado Mengi Hayajulikani

Inshort ni kuwa mafua yamepata almost watu wote duniani almost bilion 7, na kwa mwaka unaweza kupata mafua ata mara3, corona imepata watu almost 150000 mpaka sasa duniani kote na hii ni miezi 3 tu mpaka sasa na mahafa ni hayo, ikumbukwe wiki iliopita wagonjwa walikuwa elf70 na wiki3 zikilizopita walikuwa chini ya elf40
Wanaokufa wengi ni wale waliougua mwezi na zaid mpaka ikashindikana
Ukumbukwe apo bado kuna data zimepikwa ili kurinda uchumi wa nchi fulani

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndio unaouita "upeo mkubwa" ?
Kwanza ulichoandika hapa, kinaonyesha kwamba hujui chochote katika eneo hilo la magonjwa ambukizi.

Hata namba unazoweka hapo hazina maana yoyote. Kiufupi ni kwamba huna msingi wowote katika eneo hili mbali ya kurukia taarifa zilizoandikwaambazo hata zenyewe huna uwezo wa kuzisoma, kuzielewa na kuzitolea uchambuzi.
 
Halafu kuna sehemu nimesoma kama ni mwanaume ukiugua na ukapona basi unaua na nguvu za kiume
Wewe umeua kabisa!!!

JF bhwanah! Ina kila aina ya viburudisho.

Haya sasa, ngoja na mimi nidandie kwenye hoja yako hii:

Gonjwa hili ni la kutengeneza. Limetengenezwa mahsusi kuwamaliza wachina, lakini kwa bahati mbaya, kwa sababu ya mwingiliano wa mawasiliano limeenea dunia nzima hata huko lilikotengenezwa!

Kwa hiyo hili gonjwa linayo manufaa yake. Moja likiwa kupunguza wingi wa watu duniani ili dunia iendelee kuhimili na kuwahudumia watakaoendelea kuishi katika dunia hiyo!

Mkuu 'The Transporter' mimi nipo tayari kushiriana nawe katika uandishi wa kitabu katika eneo hili, ili tuufahamishe ulimwengu.
Je, upo tayari?
 
When asked if hundreds of thousands of Americans could die from coronavirus, Dr. Anthony Fauci, the nation’s top infectious disease expert, said “it could happen, and it could be worse."

Fauci's comments were made this morning on CNN’s “State of the Union” where he also discussed how the challenge "is to try and make that not happen.”

 
Ata kivhaa nae anajijua ana akili timamu, ligi zinasimamishwa, watu wanakufa kama kuku, ligi zinasimamishwa, maraisi wanasema watu wamuombe Mungu wao, miji inafungwa, afu anatokea mru moja ulieshiba maandazi unasema ugonjwa sio serious unakuwa overated,
Huu ndio unaouita "upeo mkubwa" ?
Kwanza ulichoandika hapa, kinaonyesha kwamba hujui chochote katika eneo hilo la magonjwa ambukizi.

Hata namba unazoweka hapo hazina maana yoyote. Kiufupi ni kwamba huna msingi wowote katika eneo hili mbali ya kurukia taarifa zilizoandikwaambazo hata zenyewe huna uwezo wa kuzisoma, kuzielewa na kuzitolea uchambuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe umeua kabisa!!!

JF bhwanah! Ina kila aina ya viburudisho.

Haya sasa, ngoja na mimi nidandie kwenye hoja yako hii:

Gonjwa hili ni la kutengeneza. Limetengenezwa mahsusi kuwamaliza wachina, lakini kwa bahati mbaya, kwa sababu ya mwingiliano wa mawasiliano limeenea dunia nzima hata huko lilikotengenezwa!

Kwa hiyo hili gonjwa linayo manufaa yake. Moja likiwa kupunguza wingi wa watu duniani ili dunia iendelee kuhimili na kuwahudumia watakaoendelea kuishi katika dunia hiyo!

Mkuu 'The Transporter' mimi nipo tayari kushiriana nawe katika uandishi wa kitabu katika eneo hili, ili tuufahamishe ulimwengu.
Je, upo tayari?
Hahahahaha dah ngoja nikusanye info kwanza kutoka kwenye nyanzo vyangu narudi
 
Ata kivhaa nae anajijua ana akili timamu, ligi zinasimamishwa, watu wanakufa kama kuku, ligi zinasimamishwa, maraisi wanasema watu wamuombe Mungu wao, miji inafungwa, afu anatokea mru moja ulieshiba maandazi unasema ugonjwa sio serious unakuwa overated,

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hujui, ugonjwa wowote ni serious; tofauti pekee ya huu ni kuwa ni mpya. Watu hawaujui na hawana dawa. Hiyo ndio seriousness pekee juu yake, lakini sio katika kasi ya maambukizi na maangamizi.

Kama hujui tofauti hizo huna lolote la kuandika hapa.
 
Juzi nilipata mafua aise nikajua corona nikaagiza centrizen nikapiga kimoja tu flue kwisha na niko njema kabisa
 
Nimeona watz wengi sana wanajiamini sana na huu ugonjwa, kuwa wana body immunity kubwa, kwamba wamezoea kuishi na wanyama kweny majumba yao. Rafiki zangu, huu ugonjwa ni halisi, watu wanakufa , wananchi wa Italia walidharau sasa madaktari wanachagua nani ahudumiwe nani wamuache afe, wanazika kila baada ya dakika 30. Mimi nipo china, tangu tarehe 22 january mpk sasa sijawahi kutoka ndani, wachina wamekufa wengi sana hasa kipindi cha january hapo mpk february mwanzoni, wapo waliofia ndani, wapo waliokuwa naanguka markets nk. Chukueni tahadhari

Hivi na wao wana taarifa yeyote kuhusu kila baada ya dakika ngapi watoto wa kiafrika wanakufa kwa njaa na malaria au sisi ndio rahisi kuona vifo vyao


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom