Mshuwa1
Member
- Apr 8, 2015
- 91
- 22
Tuonyeshe 'upeo mkubwa' basi!
Huu ndio unaouita "upeo mkubwa" ?Inshort ni kuwa mafua yamepata almost watu wote duniani almost bilion 7, na kwa mwaka unaweza kupata mafua ata mara3, corona imepata watu almost 150000 mpaka sasa duniani kote na hii ni miezi 3 tu mpaka sasa na mahafa ni hayo, ikumbukwe wiki iliopita wagonjwa walikuwa elf70 na wiki3 zikilizopita walikuwa chini ya elf40
Wanaokufa wengi ni wale waliougua mwezi na zaid mpaka ikashindikana
Ukumbukwe apo bado kuna data zimepikwa ili kurinda uchumi wa nchi fulani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umeua kabisa!!!Halafu kuna sehemu nimesoma kama ni mwanaume ukiugua na ukapona basi unaua na nguvu za kiume
Huu ndio unaouita "upeo mkubwa" ?
Kwanza ulichoandika hapa, kinaonyesha kwamba hujui chochote katika eneo hilo la magonjwa ambukizi.
Hata namba unazoweka hapo hazina maana yoyote. Kiufupi ni kwamba huna msingi wowote katika eneo hili mbali ya kurukia taarifa zilizoandikwaambazo hata zenyewe huna uwezo wa kuzisoma, kuzielewa na kuzitolea uchambuzi.
Hahahahaha dah ngoja nikusanye info kwanza kutoka kwenye nyanzo vyangu narudiWewe umeua kabisa!!!
JF bhwanah! Ina kila aina ya viburudisho.
Haya sasa, ngoja na mimi nidandie kwenye hoja yako hii:
Gonjwa hili ni la kutengeneza. Limetengenezwa mahsusi kuwamaliza wachina, lakini kwa bahati mbaya, kwa sababu ya mwingiliano wa mawasiliano limeenea dunia nzima hata huko lilikotengenezwa!
Kwa hiyo hili gonjwa linayo manufaa yake. Moja likiwa kupunguza wingi wa watu duniani ili dunia iendelee kuhimili na kuwahudumia watakaoendelea kuishi katika dunia hiyo!
Mkuu 'The Transporter' mimi nipo tayari kushiriana nawe katika uandishi wa kitabu katika eneo hili, ili tuufahamishe ulimwengu.
Je, upo tayari?
Kama hujui, ugonjwa wowote ni serious; tofauti pekee ya huu ni kuwa ni mpya. Watu hawaujui na hawana dawa. Hiyo ndio seriousness pekee juu yake, lakini sio katika kasi ya maambukizi na maangamizi.Ata kivhaa nae anajijua ana akili timamu, ligi zinasimamishwa, watu wanakufa kama kuku, ligi zinasimamishwa, maraisi wanasema watu wamuombe Mungu wao, miji inafungwa, afu anatokea mru moja ulieshiba maandazi unasema ugonjwa sio serious unakuwa overated,
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona watz wengi sana wanajiamini sana na huu ugonjwa, kuwa wana body immunity kubwa, kwamba wamezoea kuishi na wanyama kweny majumba yao. Rafiki zangu, huu ugonjwa ni halisi, watu wanakufa , wananchi wa Italia walidharau sasa madaktari wanachagua nani ahudumiwe nani wamuache afe, wanazika kila baada ya dakika 30. Mimi nipo china, tangu tarehe 22 january mpk sasa sijawahi kutoka ndani, wachina wamekufa wengi sana hasa kipindi cha january hapo mpk february mwanzoni, wapo waliofia ndani, wapo waliokuwa naanguka markets nk. Chukueni tahadhari
Hahahaha elimu elimu elimu .. Tangu lini Home ya Mapafu ikahusiana na Mafua...
Hii nchi elimu Ni tatizo Sana aiseeh
Sent using Jamii Forums mobile app